Wasipokuelewa hapa hawatakuelewa tena.Nchi imeshaharibika. Kitendo cha kuruhusu biashara ya mkononi na kwenye meza ndo kifo cha kodi Tz. Nchi zilizoendelea hata karanga zinafungwa kwenye mfuko na kuwekwa barcode. ushuru unakuwa mdogo kiasi kwamba mfanyabiashara haumii lakini kila mfanya biashara analipa kodi. Sasa uongozi wetu umeona fahari kuruhusu biashara ziendeshwe kwa mtindo wa kuagiza mzigo wa kichina na kuwakabidhi machinga, sahau mapato ya serikali. Vijana badala ya kutumika kufanya kazi za uzalishaji wanafanya kazi ya kusaidia kuchepusha kodi na serikali imebariki.
Hii nchi ya ajabu sana!! Yaani mtu asiyelipa kodi ndo anakuja na wazo la kodi ya uzalendo!!Kwa hiyo kumbe lile agizo la Rais hiyo tozo iangaliwe upya ilikuwa ni usanii? ndio maana mpaka leo kimya.
Wabunge wenye kipato cha uhakika kila mmoja akatwe sh 2,000,000/= kwa mwezi,tutapata pesa nzuri tuSpika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025
Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.
Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.
Ijumaa kareem?
---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.
Chanzo: Malunde
Uwezo wa kufikiri ndiyo umefikia peak, hawezi kufikiri zaidi ya hicho alichosemaSpika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025
Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.
Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.
Ijumaa kareem?
---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.
Chanzo: Malunde
Wenyewe wanakuambia wapiga kura wetu. Kuna wamachinga anaingiza zaidi ya milioni 2 ila halipi kodi.Nchi Ina walipaji kodi wachache Sana kwa ajili ya siasa zetu za kipuuzi.Nchi imeshaharibika. Kitendo cha kuruhusu biashara ya mkononi na kwenye meza ndo kifo cha kodi Tz. Nchi zilizoendelea hata karanga zinafungwa kwenye mfuko na kuwekwa barcode. ushuru unakuwa mdogo kiasi kwamba mfanyabiashara haumii lakini kila mfanya biashara analipa kodi. Sasa uongozi wetu umeona fahari kuruhusu biashara ziendeshwe kwa mtindo wa kuagiza mzigo wa kichina na kuwakabidhi machinga, sahau mapato ya serikali. Vijana badala ya kutumika kufanya kazi za uzalishaji wanafanya kazi ya kusaidia kuchepusha kodi na serikali imebariki.
Kateni posho za vikao vya Bunge(Sitting allowances) na mishahara ya wabunge,wawalazimishe kampuni za simu wapeleke serikalini mabaki ya dakika,SMS na bando ambazo hazijatumika na wateja baada ya kujirusha na viongozi wote wa serikali walipe kodi kuanzia Rais mwenyewe.kwanza acheni kununua magari ya kifahari, punguzeni posha ya Tshs 300,000.00 kwa siku kwa wabunge, mna wachumi kwa nini kabla ya kupitisha hizo tozo msiwaulize wananchi mnauliza sasa? huo ni ujinga mkubwa na ulevi wa madaraka
Magufuli kafa kwa kuombewa kifo!Ukiombewa wewe kifo na dua ikasikika tambua kuwa maisha yataendelea kama kawaida.
Nchi imeshaharibika. Kitendo cha kuruhusu biashara ya mkononi na kwenye meza ndo kifo cha kodi Tz. Nchi zilizoendelea hata karanga zinafungwa kwenye mfuko na kuwekwa barcode. ushuru unakuwa mdogo kiasi kwamba mfanyabiashara haumii lakini kila mfanya biashara analipa kodi. Sasa uongozi wetu umeona fahari kuruhusu biashara ziendeshwe kwa mtindo wa kuagiza mzigo wa kichina na kuwakabidhi machinga, sahau mapato ya serikali. Vijana badala ya kutumika kufanya kazi za uzalishaji wanafanya kazi ya kusaidia kuchepusha kodi na serikali imebariki.
Wenyewe wanakuambia wapiga kura wetu. Kuna wamachinga anaingiza zaidi ya milioni 2 ila halipi kodi.Nchi Ina walipaji kodi wachache Sana kwa ajili ya siasa zetu za kipuuzi.
Iende katika mfuko wa solidarity fund hahahaWabunge wapunguziwe kila mmoja milion kwa mwez
Huyu kibushuti apuuzwe tu ana faili MirembeSpika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025
Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.
Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.
Ijumaa kareem?
---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.
Chanzo: Malunde
Sasa hayo mawazo mbadala si yalitakiwa yachagizwe bungeni na wabunge wenye akili?Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025
Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.
Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.
Ijumaa kareem?
---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.
Chanzo: Malunde
Hivi tozo ni nini? Naona kama unyang'anyi tu, ujui fedha nimepata wapi we unachukuwa tu!Kwa hiyo kumbe lile agizo la Rais hiyo tozo iangaliwe upya ilikuwa ni usanii? ndio maana mpaka leo kimya.
Kama yeye na vyanzo vyote vya Habari na kuwepo Bungeni kwa muda mrefu hajui, basi tutakuwa na tatizo kubwa la kiuongozi.Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025
Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.
Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.
Ijumaa kareem?
---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.
Chanzo: Malunde