Spika Ndugai ataka Walimu waongezewe kazi wafundishe masomo kuanzia matatu ili kupunguza uhaba wa Walimu

Ha ha ha kwani walimu wameisha mitaani ambao hawana ajira?.Ashauri pis walimu walioacha ualimu na kwenda kwenye ubunge wawe wanafundisha wakati ambao sio wa vikao vya bunge,ili kupunguza uhaba huo, mfano mzuri ni rais wetu mpendwa Dr.John Pombe Magufuli alikuwa anafundisha pindi huko chato wakati ambao sio wa vikao vya bunge.
 
Speaker kaongea pumba kwanini asishauri serikali iajiri maelfu ya walimu walioko mtaani?
Kuliko kulundikia hao walimu mzigo.
Hivi mazingira ya ulaya na hapa kwetu yanalingana?kea Nini tunapenda kujilinganisha na mataifa makubwa wakati hata Angola wanatuzidi kiuchumi?Ni aibu.
 
Kweli tumepatwa awamu hii... Huo uhaba wa walimu mashuleni ni kwa sababu hatuna vijana wahitimu wa ualimu mitaani ama ni kwamba serikali haiajiri?
Kama hizi ndizo fikra za Spika wa chombo Cha uwakilishi nchini,Basi Kama Taifa tayari tumezama matopeni... Kuna mamb yanatia kichefuchefu
 
MATAGA njooni muitete spika yenu huku.

Juhudi za mataga kutetea zinaenda zinapungua kila siku.

Hii ngoma Ni Kama msalaba wajumuia hauruki nyumba

Mitano Tena .
 
Mwambieni deportivo inapenda watu wenye kisukari mnoo, angejikita kwenye kujikinga zaidi kuliko hizi tantarira.
Kila nikiona mtu kaandika deportivo nacheka mpaka mbavu zinauma.
Anyway huyu Ndugai anyamaze tu. Yeye yupo huko bungeni hamna cha maana anachokifanya na bado analipwa hela nyingi.
Asitukaushe kizazi mfyuuuu
 
dah, uliwaza kwanini shule za msingi ndani yakata zinaweza kua hata tano lakini shule ya sekondari ipo moja,? pia elewa huyu mwalimu alipo faulu form four kwenda five anasoma masomo 3 na anapoenda chuo kikuu anasoma masomo mawili tu
 
Hayo madaftari 1500 ili usahihishe inabidi kwanza wafanye swali moja tu,pili usifundishe siku nzima usahihishe.
Kama swali ni kujieleza na linachukua dakika tatu kulipsahiisha zidisha kwa 1500 = 4500 kisha gawa kwa 60 ni masaa mangapi? Zaidi ya masaa 70 kama siku 3 mfululizo bila ya kupumzika. Kiujula hata kama muda ni chini ya hapo siku moja haitoshi.
Sasa hii ni elimu gani?
Ni sawa na kutoa dozi moja ya mseto vidonge 24. Kwa wagonjwa 24 ukiamini watapona!
 
Bwashee mbna nmekuelewa nusu
 
Kwel aliewaita mataga hakukosea na ww n taga kuu ipo cku utashikwa makaadu na utasema ni sawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…