Spika Ndugai ataka Walimu waongezewe kazi wafundishe masomo kuanzia matatu ili kupunguza uhaba wa Walimu

Ni simpo tu, kila kipindi ni dakika 10 na mada inalainishwa kama mlenda. Twende tukapige kazi mtani. Unaumiza akili ya nini wakati tupo uchumi wa kati?[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]
 
Kwa hilo somo moja au hayo masomo mawili tayari MTU ana load ya kutosha, vpi wakimwongezea masomo mengine!!! This is absurd.

Uhaba wa walimu hautatuliwi kwa kumrundikia mzigo mwalimu mmoja bali kuajiri walimu wengine.
 

Tanzania hatuna uhaba wa walimu bali hatuna pesa ya kuajiri walimu kama inavyohitajika, tatizo letu tunawaza kumkamua ng'ombe maziwa wakati hatumpi chakula cha cha kutosha
 
Kazi ya kuongea ndio Rahisi ikifatiwa na Kazi anayofanya mwenzako
 

Kama mtu hajawahi kufundisha na hajui ugumu wa kazi hiyo asibwabwaje, afunge bakuli lake, walioweka mfumo wa walimu kusomea masomo machache hawakuwa wajinga kama yeye
 
Ila maswala ya kiuledi /utaalamu yafanyiwe research sio kuongea tuu

Mh. Mkapa Kuna Jambo aliwah sema kuhusu Elimu inahitaji Taasisi (kamat MAALUMU)
 
Kwa kifupi anatuambia serekale haina pesa za kuajiri.

Tubanane na hawa waliopo.

Sisi hapa wizarani tumeshaanza lifanyia kazi. Soon linashushwa kwa maafisa elimu kwa utekelezaji.

Hakuna anayetaka kutumbuliwa kwa sasa. Tutajua mbele ya safari.
 
Speaker kaongea pumba kwanini asishauri serikali iajiri maelfu ya walimu walioko mtaani?
Kuliko kulundikia hao walimu mzigo.
Wanataka kuwafanya cheap labour. Wasiwaajiri walimu waliyobobea masomo husika tutaendelea na 'education suicide' nchini.

Basi kupunguza gharama pia waziri mmoja ashikilie wizara 5 na jibu watalielewa mbele ya safari.
 
Kwa kifupi anatuambia serekale haina pesa za kuajiri.

Tubanane na hawa waliopo.

Sisi hapa wizarani tumeshaanza lifanyia kazi. Soon linashushwa kwa maafisa elimu kwa utekelezaji.

Hakuna anayetaka kutumbuliwa kwa sasa. Tutajua mbele ya safari.
Serious mkuu?
 
Mwanasiasa ni kila kitu
Mchumi
Mwalimu
Daktari
Engineer
 
Wewe akili zitakurudia mshahara ukichelewa kutoka!!

Kwa sasa endelea kuimba pambio.
 
Wanataka kuwafanya cheap labour. Wasiwaajiri walimu waliyobobea masomo husika tutaendelea na 'education suicide' nchini.

Basi kupunguza gharama pia waziri mmoja ashikilie wizara 5 na jibu watalielewa mbele ya safari.
You said it all
 
Duu! Hatari a nusu! Kuna shule za binafsi ukienda unakuta wamechapisha kibao kimeandikwa..."Hatuajili wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kufyndisha katika shule hii kwasababu hawakusomea ualimu"! Sasa kama hiyo hoja ya spika itatekelezwa maana yake hata form six watakuwa na sifa ya kufudisha mashulei sababu hata walimu sasa watafundisha masomo ambayo hawakusomea chuoni!
 
Wanataka kuwafanya cheap labour. Wasiwaajiri walimu waliyobobea masomo husika tutaendelea na 'education suicide' nchini.

Basi kupunguza gharama pia waziri mmoja ashikilie wizara 5 na jibu watalielewa mbele ya safari.
Yani watu wakipata madaraka makubwa wanakuwa wajinga kwelikweli
 
Hiyo ni kauli ya kiongozi wa bunge, kwamba mwalimu mmoja afundishe masomo matano tofauti.
Mheshimiwa spika wakishafundisha hayo masom 5 hawa walimu ambao hawajaajiriw watafundisha nin? Au kwao ajira ndo imetoka ivo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…