Spika Ndugai ataka Walimu waongezewe kazi wafundishe masomo kuanzia matatu ili kupunguza uhaba wa Walimu

Spika Ndugai ataka Walimu waongezewe kazi wafundishe masomo kuanzia matatu ili kupunguza uhaba wa Walimu

Akikazia mawazo ya wabunge kama kawaida yake nimemsikia Mh Speaker ameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuwaongezea masomo ya kufundisha walimu kwa maana ya kuwafundisha kuyafundisha tangu wakiwa vyuoni hasa vyuo vikuu ili kupunguza uhaba wa walimu na kuongeza tija kwa wanafunzi.

Akitolea mfano wa Balozi Mbelwa Kairuki alichomsimulia kule China mwaka jana, Ndugai amesema kuwa kule China vijana wanajua mambo mengi sio kama hapa Tanzania ambapo kijana anajua kazi moja tu kama ni fundi ujenzi ni ujenzi tu na kama ni kuchomelea ni kuchomelea tu.

"Kwanini mwalimu wa high school nafundisha somo moja" eti mmesomea kufundisha somo moja tu ili iweje na uhaba huu wa walimu alihoji speaker Ndugai.

Anatakiwa afundishe masomo matatu, manne au hata kuendelea .hali iliyoibua hoja ya mkwamo wa walimu wanaongojea kazi serkalini na kujiuliza watakwenda wapi? Kama wazo la speaker litafanyiwa kazi.
wabunge waongezewe kazi, isiishie tu kupiga makofi Bungeni , waongezewe majukumu ya kufanya usafi nyumba za wazee na mayatima maana Serikali ina upungufu wa watumishi.
 
Haina shida,ndugai yuko sahihi. Maana walimu wa shule za msingi wanafundisha masomo yote ndo maana hakuna uhaba wa walimu katika shule za msingi.Ndugai ni akili kubwa ,kumuelewa hadi uwe na PhD,na nionavyo Mimi kwa Tanzania ya sasa hatuhitaji madaktari wa meno,sijui figo,moyo nk. Ni upotevu wa pesa haiwezekani daktari yeye kazi yake ni kutibu meno tu au macho,ni matumizi mabaya ya raslimali watu,daktari wa meno inapidi pia asomee ubongo,figo nk.ili kuwa na matumizi sahihi ya raslimali watu.

Safi sana,kuna wakati viongozi wetu huwa wanatoa maoni /kauli hadi unashindwa kujua hii kauli ilitolewa na huyu kiongozi akiwa katika khali gani.

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Wagogo wanaomba kujengewa maghorofa makubwa makubwa Dodoma!

Yaani kila kitu wanaomba hawajuwagi kujiongeza.

Taratibu wanaondolewa mjini kisayansi watabakia pembezoni tu Kibaigwa, Bahi na Mtera.

Warangi nawakubali sana akina Kimbisa ni watu wa kujiongeza sana!
no offense lakin wagogo ni kabila lililo zubaa kijinga.
yaan wameridhaka na ile level ya ufukara walionao.. hawataki kwenye extra mile.

sasa pale dodoma mjini wameshaondolewa na wageni. taratiiibu watajikuta kongwa wakikaa vibaya.
hawashtuki tu
 
Mfano mimi mwalimu, nafundisha somo X kidoto Y wanafunzi 400 na kidato S wanafunzi 350. Jumla ni wanafunzi 750 nikiongezewa somo moja kwa vidato vilevile jumla itakuwa 1500. Nikitoa kazi, zoezi au jaribio itabidi nisahihishe wanafunzi 1500.
Huku ni kufikiri au kubashiri
Hayo madaftari 1500 ili usahihishe inabidi kwanza wafanye swali moja tu,pili usifundishe siku nzima usahihishe.
 
Akikazia mawazo ya wabunge kama kawaida yake nimemsikia Mh Speaker ameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuwaongezea masomo ya kufundisha walimu kwa maana ya kuwafundisha kuyafundisha tangu wakiwa vyuoni hasa vyuo vikuu ili kupunguza uhaba wa walimu na kuongeza tija kwa wanafunzi.

Akitolea mfano wa Balozi Mbelwa Kairuki alichomsimulia kule China mwaka jana, Ndugai amesema kuwa kule China vijana wanajua mambo mengi sio kama hapa Tanzania ambapo kijana anajua kazi moja tu kama ni fundi ujenzi ni ujenzi tu na kama ni kuchomelea ni kuchomelea tu.

"Kwanini mwalimu wa high school nafundisha somo moja" eti mmesomea kufundisha somo moja tu ili iweje na uhaba huu wa walimu alihoji speaker Ndugai.

Anatakiwa afundishe masomo matatu, manne au hata kuendelea .hali iliyoibua hoja ya mkwamo wa walimu wanaongojea kazi serkalini na kujiuliza watakwenda wapi? Kama wazo la speaker litafanyiwa kazi.
Duh ko kama shule ina PCB awepo mwalimu mmoja HKL mwalimu mmoja sasa hapo wanataka kuomgeza ajira au kupinguza ajira mbona hyo solution haieleweiki! Je ufanisi wa mwali katika ufundishaji utakuwaje aandae mambo ya kufundisha kwa hayo masomo duh kwel hii n bongo
 
Masomo matano hapana itaua motisha na itakuwa ilimradi niliingia darasani wanafumzi waelewe wasielewi watajua wenyewe ,bora angesema waajiriwe ....mbona wako wengi sana mtaan? Kuwaongezea ina maana kuna uhaba wa walimu wakati graduates wako wa kutosha.
 
heee! sasa mtu kasomea in deep masomo mawili a -level mpaka university leo umpangie afundishe masomo manne yapi tena na kwa uelewa upi alionao! eati wengine jamani sijui wanafikiria kwa kutumia nini!
 
Hivi huyu mtu ana elimu gani(amesomea nini??) ningependa kujua maana katika empty set ninazozijua huyu ni wa kwanza yaan katika sector ya poor reasoning nampa cheo cha brigedia general
Mtaalamu wa wanyama pori huyo

Ana akili nzuri sana tu namfahamu, sema hata ungekuwa wewe ungekuwa katika nafasi yake ungefanya kinachoendana na mfumo

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
what makes me so happy is the fact that we all gonna die someday! na sheikh wangu ananiambia kuwa ni siku ngumu sana hiyo; utatamani hata upate dakika moja ya kutubu kwa uliowaonea, uliowadhulumu, uliowakera kutokana na kiburi au shibe ya upendeleo n.k. Utatamani urudishe au ugawe ulivyovuna kwa mgao usio sawa wala haki.

Mwenyezi mungu nijaalie kifo chema kwa kuniweka mbali na majivuno, kejeli, kebehi, ulafi, dhulma n.k. AMEEEN!!!!!
 
Speaker angeonekana wa maana endapo angeshauri serikali iajiri walimu wengi zaidi kutatua tatizo la uhaba wa walimu lakini kusema waongezewe masomo ni kuongeza mzigo kwa walimu.
 
Mbona wao wamekimbia hiyo kazi wapo mule kupasha tu joto?
 
Back
Top Bottom