Spika Ndugai aumizwa na chama cha siasa kutoleta Wabunge wa Viti Maalum, adai zingekuwa nafasi za wanaume wangelishafika



Nafasi Nyengine awape lile Jeshi la kukodi kutoka Burundi
 
Bunge tunataka liwe la CCM tuwe na maendeleo kama Ulaya wapinzani wanatuchelewesha au Ndugai anapishana na bosi wake Rais Magufuli?

Huku Zanzibar CCM waliachiwa miaka mitano , hakuna chochote cha maana walichokifanya zaidi ya kuifisidi nchi na kuirudisha nchi miaka 200 nyuma
 
Hakuna hata wachawi wamloge huyu babu?
Ohoo, yeye mwenyewe ni mchawi wa kutupwa. Kilangila.
Kuchanya kutali. Kilangila.
 
Yeye alisema wapinzani hawatazidi wa tatu sasa anataka nini zaidi.​
 
Ndugai: Viti Maalum kupitia vyama vya siasa, viko vyama bado havijatuletea wabunge wao, tunachoona kwenye mitandao na mahali pengine eti wanalumbana eti wasiwalete sijui wawalete, yaani ni ajabu, aibu kubwa sana kwa vya vya namna hii.
Unapokuwa mtu mzima na umri kama wa ndugai unatakiwa uwe makini na unayoongea na kuacha unafiki na umuogope Mungu;
1. Wabunge 'waliodhulumiwa' haki zao ktk majimbo kwa 'kupokwa ushindi' wao mbona hao hasikitiki na kukemea?
2. wabunge wa viti maalamu mbona linamuuma?
*wenye akili eleweni namna wanasiasa wetu walivyo na tabia za ajabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…