Kabwe Katali
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 475
- 934
Sio kweli kwamba unaandikwa vibaya kwa sababu wewe ni mgogo na wala hakuna anayewadharau wagogo ni wewe mwenyewe na matendo yako yanakufanya udharauliwe.unafanya vitu vya ajabu sana huko bungeni.SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo
View attachment 2061957
Vina protein ya hali ya juu. Usidharau tamaduni ya mwenzako.Ndugu zake wanakula viwavi yeye
Mimi kwetu kuna wadudu wanaitwa Mang'eng'e tunakula kwa msimu wakati wa mwezi Nov. Hatuli sababu hatuna chakula ila ni kama utamaduni. Sasa wale ndugu zake Ndugai walikuwa hawana chakula njaa iliwapiga balaa ndiyo wakaopt kula viwavi. Wakiwa na chakula hawali viwavi Wagogo.Vina protein ya hali ya juu. Usidharau tamaduni ya mwenzako.
Wewe mbona unakula chura na hatusemi( jokes, kwa sababu sikujui ha haaa)
Magufuli ndiyo chanzo cha chuki ya taifa ninayoitafuna nchi yetu. Magufuli ndiyo chanzo cha taharuki ya uchumi na kuvurugika kwa diplomasiaWewe jamaa huwa kila mahala lazima umtaje Magufuli. Acha ubwege we ndina
Aache huo ujinga,anaandikwa kutokana na ujinga wakeSPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo
View attachment 2061957
Je anadhani angekuwa kabila gani asingeandikwa?
Daah,,Viwavi JeshiNdugu zake wanakula viwavi yeye anajidai kutibiwa huku kalala hotel ya 5 stars ugenini kwa nusu mwaka. Lazima adharaulike
😄😄😄 viwavi ? Jeshiiiiiiiiiiiiii? Ama vingine .labda wana vinasaba vya kichina kama ni vile jeshiNdugu zake wanakula viwavi yeye anajidai kutibiwa huku kalala hotel ya 5 stars ugenini kwa nusu mwaka. Lazima adharaulike
Inferiority complex.SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Mengi mnayoyasikia wakati mwingine sio kweli kihivyo, nchi yetu ina upotoshaji mkubwa sana wa mambo mengi, na sisi viongozi siwezi kusimama leo nifafanue hili, kesho nifafanue lile, keshokutwa nifafanue lile.
Niseme ukweli, kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha sio kwasababu nina pungufu lolote, kwasababu mimi mgogo, dharau ile, muwe mnaelewa vitu vingine, kabisa ninawaambieni.
Huyu ataongea kitu gani! Wana akili hawa! Yaani umeshaharauliwa hata kabla haujapanda ile ngazi, wako wenye attitude za namna hiyo, sasa baadhi ya vijana wetu nao wanapiga madongo kumbe haelewi kinachosumbua hapa ni nini! Ni attitude tu.
Na wakati mwingine mnakuwa hamjapata ufafanuzi wa jambo lenyewe likoje na sababu zake ni zipi"
Spika wa Bunge
Job Ndugai
View attachment 2061957
Inferiority complex inamsumbua Sana huyu kijana.Alishasema kwamba anamchukia Mbowe kwa sababu wakati wanasoma Kibaha boys ,yeye alikuwa anapata shida sababu ya umaskini huku Mbowe anakula raha.SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Mengi mnayoyasikia wakati mwingine sio kweli kihivyo, nchi yetu ina upotoshaji mkubwa sana wa mambo mengi, na sisi viongozi siwezi kusimama leo nifafanue hili, kesho nifafanue lile, keshokutwa nifafanue lile.
Niseme ukweli, kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha sio kwasababu nina pungufu lolote, kwasababu mimi mgogo, dharau ile, muwe mnaelewa vitu vingine, kabisa ninawaambieni.
Huyu ataongea kitu gani! Wana akili hawa! Yaani umeshaharauliwa hata kabla haujapanda ile ngazi, wako wenye attitude za namna hiyo, sasa baadhi ya vijana wetu nao wanapiga madongo kumbe haelewi kinachosumbua hapa ni nini! Ni attitude tu.
Na wakati mwingine mnakuwa hamjapata ufafanuzi wa jambo lenyewe likoje na sababu zake ni zipi"
Spika wa Bunge
Job Ndugai
View attachment 2061957
Tatizo lako wewe ni mkabila,mchama na mpumbavu.SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Mengi mnayoyasikia wakati mwingine sio kweli kihivyo, nchi yetu ina upotoshaji mkubwa sana wa mambo mengi, na sisi viongozi siwezi kusimama leo nifafanue hili, kesho nifafanue lile, keshokutwa nifafanue lile.
Niseme ukweli, kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha sio kwasababu nina pungufu lolote, kwasababu mimi mgogo, dharau ile, muwe mnaelewa vitu vingine, kabisa ninawaambieni.
Huyu ataongea kitu gani! Wana akili hawa! Yaani umeshaharauliwa hata kabla haujapanda ile ngazi, wako wenye attitude za namna hiyo, sasa baadhi ya vijana wetu nao wanapiga madongo kumbe haelewi kinachosumbua hapa ni nini! Ni attitude tu.
Na wakati mwingine mnakuwa hamjapata ufafanuzi wa jambo lenyewe likoje na sababu zake ni zipi"
Spika wa Bunge
Job Ndugai
View attachment 2061957
Hii ni hulka yao, hata wakiwa na hela wanazodhani zinawatosha na chakula hawafanyi kazi. Ha ha haaaa!Wakiwa na chakula hawali viwavi Wagogo
Nashangaa afanye maamuzi ya hovyo halafu kinga iwe ugogo?jahazi letu(tanzania)linazamishwa na hawa viongozi walafi na wenye kiburi.Sio kweli, asitake kutuletea ukabila ambao watanzania hatuna habari nao. Matendo na maneno yake bungeni ndio chanzo cha yeye kusemwa vibaya, ameishusha hadhi ya taasisi ya bunge.
Mfano issue ya kina Mdee na wenzake, ilishawahi kufanyiwa kazi na bunge siku za nyuma na uamuzi kuchukuliwa kwa wabunge wa CUF, kwanini leo Ndugai aendelee kuwalea wale huku wakipoteza pesa za walipa kodi kinyume cha sheria?
Hapa hakuna ukabila, Ndugai afuate sheria na taratibu zilizopo hakuna mtu atakaye msema vibaya, tena atapata uungwaji mkono asioutegemea.
Chama chake,kichukue hatua stahiki,anadhalilisha Chama chake, taasisi aliyoaminiwa kuiongoza na maamuzi yake yanatia hasara kwa taifa.Anaandikwa vibaya kwa ufisadi wake wa kuiingiza wabunge hewa wale covid 19, kutumia bilioni 29 kwa matibabu hewa na kulifanya Bunge kuwa kusanyiko la mazuzu. Huko kuhusisha kabila lake ni inferiority complex inamtafuna