Huyu jamaa kimsingi huwa namkubar sana, suala la kuwalinda wabunge 19 mi naona ni la kiungwana na roho safi ya kibinadamu.Mbona nae amejigeuza mungu mtu kule bungeni kwa kuwalinda wale wanawake 19 kinyume na sheria?
We jamaaa nimecheka sana aiseeNimemsikiliza huyu lafa nikasema kweli nyani haoni lenduku
Sijajua tafri yako unapomtafsir Ndugai.Yeye mwenyewe anajiona Mungu Nani?
Hivi na ndugai anamjua Mungu!Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Muhimili anao uongoza unatunga sheria kwa influence za 'kishetani' then anashauri muhimili unaoenda kuzitafsiri umtangulize Mungu, tangu lini Mungu akatafsiri kazi za shetani?!Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Taratibu bwashee!Muhimili anao uongoza unatunga sheria kwa influence za 'kishetani' then anashauri muhimili unaoenda kuzitafsiri umtangulize Mungu, tangu lini Mungu akatafsiri kazi za shetani?!
Hii nchi ina vituko sana, yaani mtu aliyepaswa kuwa na 'permanent bed' pale Mirembe ndiye anaongoza muhimili for all wrong reasons.Taratibu bwashee!
Mungu huwamulikia nuru yake wema na wabaya!Duuu hadi hyu muuaji anamtaja mungu!!!!!?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]lendukuNimemsikiliza huyu lafa nikasema kweli nyani haoni lenduku
Haya maneno Ole Ndugai ameyapata wapi?Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Je Mungu amesema tuwapige wenzetu na magongo!!?Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Mbona alimhukumu Lissu akishirikiana na JIWE kwa kumfukuza sisivyo halali na kula mishahara yake huku akiwalipa COVID 19 isivyo halali na hata mwambe?Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Kama anampiga kijani mwenzake kiasi hicho vipi wale wa kakiHatujasahau mwaka 2015 alipompiga Dk Joseph Chilongani.
Apeleke unafiki huko ! Despots must go sooner or rather than later
View attachment 1788618
Dah umewahi kukomentShetani anatoa mawaidha.. nchi hii ina vituko, cursed nation