Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Huyu jamaa kimsingi huwa namkubar sana, suala la kuwalinda wabunge 19 mi naona ni la kiungwana na roho safi ya kibinadamu.Mbona nae amejigeuza mungu mtu kule bungeni kwa kuwalinda wale wanawake 19 kinyume na sheria?