Spika Ndugai: Enyi majaji kumbukeni Hukumu anatoa Mungu siyo ninyi hivyo mkamtangulize Mungu katika utendaji wenu

Spika Ndugai: Enyi majaji kumbukeni Hukumu anatoa Mungu siyo ninyi hivyo mkamtangulize Mungu katika utendaji wenu

Mbona nae amejigeuza mungu mtu kule bungeni kwa kuwalinda wale wanawake 19 kinyume na sheria?
Huyu jamaa kimsingi huwa namkubar sana, suala la kuwalinda wabunge 19 mi naona ni la kiungwana na roho safi ya kibinadamu.
 
Kiukweli sijawahi kuona kama huyu bwana ni any smart
 
Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.

Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.

Source: Channel ten
Hivi na ndugai anamjua Mungu!
 
Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.

Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.

Source: Channel ten
Muhimili anao uongoza unatunga sheria kwa influence za 'kishetani' then anashauri muhimili unaoenda kuzitafsiri umtangulize Mungu, tangu lini Mungu akatafsiri kazi za shetani?!
 
Muhimili anao uongoza unatunga sheria kwa influence za 'kishetani' then anashauri muhimili unaoenda kuzitafsiri umtangulize Mungu, tangu lini Mungu akatafsiri kazi za shetani?!
Taratibu bwashee!
 
Vyeo huwa vinawachanga sana watani zangu
mjlol.png
 
Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.

Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.

Source: Channel ten
Haya maneno Ole Ndugai ameyapata wapi?
 
Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.

Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.

Source: Channel ten
Je Mungu amesema tuwapige wenzetu na magongo!!?
 
Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.

Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.

Source: Channel ten
Mbona alimhukumu Lissu akishirikiana na JIWE kwa kumfukuza sisivyo halali na kula mishahara yake huku akiwalipa COVID 19 isivyo halali na hata mwambe?
Hii laana ya nchi hii.
 
Duh!! Kweli kila mtu anayo haki ya kutaja jina la Mungu hata kama matendo yake yana ubatili. Jamaa hana hata aibu
 
Back
Top Bottom