Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Lissu ana bajeti ya wizara ya maji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta hoja na huyo spika wote ni pimbi tuLissu ana bajeti ya wizara ya maji?
Lisu hakuwahi kuwa mbunge wa singida bali alikuwa mbunge wa taifa, watu tulimpenda zito sio kwakuwa alikuwa mbunge wa kigoma bali taifa, ndugai ajitathimini kwakweli, mkoa anaotoka ndugai ndio unaoongoza kwa kutoa omba ombaLeo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!
Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!
My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.
Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Hivi mtu angekuwa haeleweki jimboni kwake angeweza kuwang'oa ccm kwenye chaguzi mbili?Jibu swali kwanza .
Lisu ameacha Legacy gani jimboni?
Mtu chizi mwenye faili Mirembe eti anafunguliwa uzi kwenye forum ya hadhi ya JF.Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!
Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!
My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.
Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Lissu anakusanya kodi?Jibu swali kwanza .
Lisu ameacha Legacy gani jimboni?
Taja alichowafanyia wananchiHivi mtu angekuwa haeleweki jimboni kwake angeweza kuwang'oa ccm kwenye chaguzi mbili?
Na Serikali imefanya nini kuwasaidia wananchi hao?Yeye Ndugai ameacha kitu gani Cha kukumbukwa,
Wananchi wa kongwa wanakunywa matope.
Muonekano wa JIJI la KONGWA kwa SasaLeo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!
Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!
My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.
Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Ndugai Ni sawa na weweKwa hiyo Lisu ni sawa tu na Ndugai wote hawajafanya kitu?
Nenda Kongwa Jimbo la Ndugai ndio utaelewa maana ya methali "Nyani haoni kundule!", Licha ya kujipendekeza kwa Magufuli, ni spika, ni mccm nk; Kongwa hoi bin taabani!Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!
Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!
My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.
Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!