Spika Ndugai: Lissu kwa miaka 10 ya Ubunge hakuna 'legacy' yoyote aliyoacha Jimboni kwake

Spika Ndugai: Lissu kwa miaka 10 ya Ubunge hakuna 'legacy' yoyote aliyoacha Jimboni kwake

Legacy ya Spika Ndugai hii hapa:

1621860110134.png
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Lisu hakuwahi kuwa mbunge wa singida bali alikuwa mbunge wa taifa, watu tulimpenda zito sio kwakuwa alikuwa mbunge wa kigoma bali taifa, ndugai ajitathimini kwakweli, mkoa anaotoka ndugai ndio unaoongoza kwa kutoa omba omba
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Mtu chizi mwenye faili Mirembe eti anafunguliwa uzi kwenye forum ya hadhi ya JF.

Pathetic!
 
Angepelekaje ilihali yeye ni mpinzani na serikali ilikua haishirikiani na wapinzani...
 
Ahh mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Ile ni habari nyingine ya Sheria mwanasheria Nguli Lissu anaijua ni jasiri asiye Igopa hata risasi wengi wangefinywa pumbu kidogo tu na mkasi siasa wangeacha siku hiyohiyo au kuunga juhudi mkono....pia maisha yake yamedhihirisha uwepo wa Mungu na utukufu wake haingii akilini risasi zote zile mwilini mwa mtu na akaishi..mwingine akipigwa kirisasi kimoja anakufa hii inatuambia kama mwisho haujafika hutakufa...mpaka Mungu atie sign....
 
Serikali gani ilikua madarakani wkt huo?....... Kwa hiyo Tundu Lissu ni mbunge tangu tanganyika ipate uhuru?.......

Hawa ccm hawana na hawajawahi kua na akili kabisa
 
Aseme tangu uhuru serikali haijawahi kutoa fedha kwa ajili ya maji.Lisu ana fungu?
 
Hivi Ndugai ana tatizo gani na Lissu? Maana Lissu hayupo bungeni lakini kila siku anamshambulia. Hivi jimboni kwake ni yeye anayepeleka maji au ni serikali. Amesahau kuwa yeye na serikali ya mwendazake ndio waliokuwa wanabagua wapinzani
 
Kwani ndugai kafanya Nini jimboni kwake? Nilipita huko maji wanabeba na punda.
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Muonekano wa JIJI la KONGWA kwa Sasa
797115e5adb1376013267ad555bdd6c7.jpg
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Nenda Kongwa Jimbo la Ndugai ndio utaelewa maana ya methali "Nyani haoni kundule!", Licha ya kujipendekeza kwa Magufuli, ni spika, ni mccm nk; Kongwa hoi bin taabani!
 
Back
Top Bottom