Spika Ndugai: Lissu kwa miaka 10 ya Ubunge hakuna 'legacy' yoyote aliyoacha Jimboni kwake

Spika Ndugai: Lissu kwa miaka 10 ya Ubunge hakuna 'legacy' yoyote aliyoacha Jimboni kwake

Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Hivi ndungai kafanya nini kongwa cha kukumbukwa?
 
Hivi ni huko Ikungi tu spika ameona tatizo la maji? Kwake Kongwa kila kijiji kina maji? Je huko kwetu Isimani Ndugai anakujua pamoja na shida yake ya maji? Na huko ni kwa Lissu?

Halafu ivi mbunge anahela za kupeleka maji kwenye jimbo lake, kama sio seriksli ndiyo yenye jukumu hilo? Spika amejiridhisha kuwa Lisu hakuwahi kupigia kelele shida ya maji jimboni kwake na nchi nzima?

Nachoona Ndugai anahukumiwa kwa dhambi aliyoshiriki kuwatendea CDM, na hususani Lisu na Mbowe maana majina yao hayamkauki kinywani mwake pengine kuliko jina la mamsapu wake! Dawa kwake ni kuweka wazi dhambi hizo ili afunguliwe vifungo vya hukumu ambayo itamuandama maisha yake yote.
Anaweweseka sana
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Anawafedhehesha Sana wanae huyu Baba😂😂😂chuki chuki imemjaa
 
Watanzania wengi akili zao zipo kama anavyowaza huyu mh.
Wajibu wa serikali tunamtwisha mbunge. Kama hatujui kuwa mbunge hakusanyi kodi yoyote.
Jumlisha akili za jiwe kuwa majimbo ya upinzani yasipate huduma ya serikali ila yatozwe kodi.


Akili hizi bahati mbaya zinarithiwa na vijana wadogo tena wasomi.
Bado tuna safari ndefu.
 
Tanzania tuna balaa sehemu nyeti kama hiyo anapata mtu asie na sifa kabisa kiuwekedi na maadili hana kabisa na ni kinala wa kueneza chuki..
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Huyu arudishwe India hukupona vizuri.
 
kongwa ndiyo mtambo wa kuzalisha ombaomba waliotapakaa dar es salaam.
 
Huo ndio uhalisia anashughulika kumnanga JPM mpaka jimbo linasahauka that was my point

Mkuu, niko sehemu toka nchi ipate uhuru kijiji hakina maji na kila mbunge alikuwa ni wa CCM, diwani mpaka mwenyekiti wa kijiji.

Kumlaumu Lissu ni kuonesha kuwa kila kijiji kina maji katika nchi isipokuwa cha Lissu? Hata kama alikaa miaka 10, kabla ya miaka hiyo si kulikuwa na mbunge wa CCM, mbona Lissu hakukuta maji??

You dont have a point, bro. You are spewing shyte!!
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Hivi ndugai naye ni wa kusikilizwa?

Afafanue kwanza juu ya ufisadi wa ile gharama ya matibabu yake India (us$ 12 million) inayompa sifa ya kuwa mgonjwa ghali zaidi duniani !!!
 
Mkuu jamaa anakaribia kurudi mavumbini it is not too long mtakuja kuniambia humu jamvini


Kweli hata mwendazake alianza taratibu kama huyu....tuwe na subira kidogo kwani anamalizia kuandika WISH
 
Kwani huyo Lissu alimaliza kweli hiyo miaka kabla ya huyo Ndugai na akina Magufuli kufanya njama kutaka kumuua.

Je huyo Ndugai huko anakotoka kuna nini cha maana zaidi ya huko anakotoka huyo Tundu Lissu. Na je, huyo Tundu Lissu alikuwa anakusanya kodi huko kwao.

Unaweza ukawa spika na bado ukawa mjinga tu, uspika haumuondolei mtu ujinga kama ni mjinga kama huyu Ndugai.
 
Kwani huyo Lissu alimaliza kweli hiyo miaka kabla ya huyo Ndugai na akina Magufuli kufanya njama kutaka kumuua.

Je huyo Ndugai huko anakotoka kuna nini cha maana zaidi ya huko anakotoka huyo Tundu Lissu. Na je, huyo Tundu Lissu alikuwa anakusanya kodi huko kwao.

Unaweza ukawa spika na bado ukawa mjinga tu, uspika haumuondolei mtu ujinga kama ni mjinga kama huyu Ndugai.
Nguvu aliyotumia kutetea acacia kwa nini hakutumia kutetea wapiga kura wake?
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Huyu jamaa ni k iliyo kwenye siku zake kabisa
 
Sabufa Ndugu yai asipomsema Mbowe Basi atamsema Lissu. Bila kuwataja Hawa labda atumie vumbi la kongo
 
CCM ipo madarakani tangia uhuru, lakini kuna maeneo mengi tu nchi hii hayana maji safi! Hata hapo Dodoma tu (ambapo wabunge wamekuwa wa CCM kwa miaka mingi), kuna maeneo maji hakuna....achilia mbali huko mikoani na hata Dar. Angeanzia hapo kwanza tutafakari pamoja!
 
Leo kwenye mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya maji, spika Ndugai amesema kwa masikitiko makubwa kuwa licha ya Tundu Lissu kuwa mbunge wa Ikungi kwa miaka 10 lakini hakuna alichofanya cha kukumbukwa na wananchi!

Ndugai amesema hata kijiji anachotoka Lisu hakuweza kuwapelekea maji kwa miaka kumi!



My take
Nguvu aliyoitumia Lissu mzee wa MIGA kutetea Acacia angeielekeza kutetea wananchi wa jimbo lake wangefika mbali sana kwa miaka 10.

Inasikitisha sana wananchi hawana maji alafu yeye anatetea wezi wa madini !!!
Stupid minds!
 
Back
Top Bottom