Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG

Safari hii Bunge limepatwa kwa kuwa na spika wa ajabu haijawahi kutokea
 
Ndugai bado hajaacha tu utopolo, au bado yupo kwenye awamu ya mwendazake
 
Ukiona mtu badala ya kujibu hoja, anasema watu wengine mara wametumwa, au fulani amekosa uzalendo, ujue huyo mtu kichwani hakuna kitu.

Mwenye akili atajibu juu ya kilichosemwa.
Hakika
 
Kwenye taarifa ya CAG si kuna audit queries za aina nyingi na sio tu za mapungufu katika matumizi ya fedha kama ilivyotolewa mfano na Mheshimiwa Speaker? Kuna clarification gani inaweza kutolewa kwa mfano kuhusu hasara ambazo ATC imeingia? Au tamko lake kuwa Feasibility study ya Stieglers Gorge ni ya miaka hamsini iliyopita? Au vifaa vilivyotumika kujenga baadhi ya miradi havikupimwa kama inavyopaswa? Au ile ya matumizi ovyo ya pesa katika wizara pendwa mojawapo ambapo ushauri ni wahusika washughulikiwe? Audit queries mnayozungumzia ni sehemu tu ya maswali yaliyoibuliwa.

Amandla...
 
****** itakua ni Ded wa Bai,Mbowe mbona hajaongelea ripoti ya CAG
 

Sidhani kama Freeman Mbowe Jana ktk hotuba yake alifanya uchambuzi wowote specific wa ripoti ya CAG zaidi kwamba kutoa kauli za jumla tu ambazo kila mtu anasema akiwemo yeye mwenyewe Spika Ndugai...

Waliotoa uchambuzi wa ripoti ya CAG kwa ukamilifu na kitaalamu ni ACT WAZALENDO na ripoti yao iko humu...

By the way, mbona ripoti hiyo ya CAG iko wazi kwa kila mtu kuisoma na kuelewa, hao wabunge wanaoagizwa na Ndugai wa kamati za PAC na LAAC wanaweza kuja na utofauti gani kupinga ukweli wa ripoti yenyewe...?

This is ridiculous......right?

Yeye Ndugai angejielekeza kupinga tuhuma za yeye na wabunge wenzake wa CCM kuhongwa na Magufuli na serikali yake zilizotolewa na Freeman Mbowe ili waweke akili zao mfukoni ili kuwezesha uchafu huu ulioanikwa na CAG utendeke...

Likely, Ndugai hakusikiliza au kutazama hotuba ya Freeman Mbowe na labda kaambiwa tu huko...
 
🤗️🤗️🤗️🤗️
 

Huyo Ndugai ana Mbowephobia ndio maana akajichanganya na uchambuzi wa Zito. Kimsingi mwanaccm yoyote anawahofia zaidi cdm kuliko ACT. Ndio maana inakuwa rahisi wao kujicontradict kwenye mambo ya ACT kuwa ni ya cdm.
 
Ukitapatapa utajikuta unajipiga mwenyewe.
 
Jamaa huyu hivi ilikuwaje akaukwaa uspika..aisee mtu anaongea hadi msikilizaji ndio unaona aibu
 
Huyu subwoofer Tanzania imepata subwoofer wa hovyo kuwahi kutokea ni bora niwasikilize watoto wasiojua kusoma na kuandika wataniuliza maswali clitical kuriko huyo mfuga nyuki hakuna anachokijua kabisaa...daah kila siku anaongea vitu vya hovyo utadhani ana ubongo wa kupandikiza sasa hapo ndio full kiyoyozi akili hizo angekua anatafuta kama sisi angekua zezeta...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…