Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Mimi Sina tatizo na huo mwito, tatizo ni Kwanini kabati hilo linachelewesha sana miito yake, linakwama wapi, au Lugalo hakuna umeme?!π€£Ukisikia na kuona uhorojokaji wa kiwango hiki, hapo ujue tu kuna mtu lile kabati la baridi kule Lugalo linamwita kwa mbali.
Au nakosea ndugu zangu? Maana tumepata uzoefu by now!
tindo kwani yule mtuhumiwa mwingine ni mtumishi wa wizara ya maliasili? Au bado ni mtumishi wa wizara ya afya? Kama huyu dada hauhusiki hawezi kupata matatizo.Kwa uonevu kwakuwa sio mwanasiasa mwenzake, ila kamfumbia macho mwanasiasa mwenzake. Katika mazingira hayo kuna querries zozote au utapeli?
Usinichulie tafadhali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wee msukuma hebu acha kilia lia
Unaharisha wewe maana ndiyo kazi yakoHizi pumba au uharo?
Waramba miguu kama weweMataga ndo akina nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahaaaaa, utapanic sana kijana wa Freeman.Unaharisha wewe maana ndiyo kazi yako
Ndiyo kazi yako ya kumramba miguu mecoUmataga ndo nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mkitumia dodoki la chuma hasafishiki kamweRipoti ya Cag ndio hoja husika, tumia akili na ujikite kwenye mada.
Ndiyo ujue kuwa wewe ni mshamba kutoka kwenu koromitjeAhaaaa, mbona leo umeona?
Mueleze huyu na wenzie. Watu wanajifanya wajuaaaaji kumbe empty sets.Mkuu mimi ni auditor na nilishawahi kushiriki audit za CAG. Audit queries huwa zinakuwa communicated kwa wahusika kabla ya final audit report haijatoka ili kama wana majibu ziweze kuondolewa. Audit queries zikikosa majibu ndio hapo audit report inakuwa finalised na kupewa mhusika. .
Dada hata 40 ya babe wako haijaisha, unakuja kushindana na wanaume huku?! Omboleza mama, tutakusubiri umalize!Ahaaaaa, utapanic sana kijana wa Freeman.
Kwani boss wenu alitumia dawa gani hadi ikamzuru?[emoji23][emoji23][emoji23]Inagandisha damu. Boss wenu kaitangaza zeneca. Nyingine hajataja
π π πNdiyo ujue kuwa wewe ni mshamba kutoka kwenu koromitje
Mkuu hapa ndiyo wapo wanapigana kuhakikisha kuwa wanamsafisha hata kwa kutumia dodoki la misumaliDada hata 40 ya babe wako haijaisha, unakuja kushindana na wanaume huku?! Omboleza mama, tutakusubiri umalize!
Ewaaa!Wewe utakuwa demu tu.
Subiri majibu ya PAC na LAC. Asubuhi niliweka uzi humu juu ya umuhimu wa kusubiri majibu ya PAC na LAC nafikiri haukuona.Inashitakiwa wizara au aliyeiba fedha za wizara?
Kuna report maalumu ya January - March, pia! Kuna watu mtanena kwa humu!Subiri majibu ya PAC na LAC. Asubuhi niliweka uzi humu juu ya umuhimu wa kusubiri majibu ya PAC na LAC nafikiri haukuona.