Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG

Amejisahau tu, au Labda alisahau dawa zake asubuhi! Utamaduni wa kusema nchi wahisani ni mabeberu eti, Tupo kwenye vita ya uchumi, umeisha kama wiki mbili zilizopita!
Inawezekana maana hata hatujui ni kwanini aliamua kubadilisha njia ya kuingilia bungeni.
 
Waambie Mkuu....mi huwa naangalia michango ya wengi humu wasojua chochote kuhusu ukaguzi nacheka tu.

Ila nitailaumu serikali yangu ya CCM kuwaacha mitaani waliomaliza form four 2012. Walitakiwa kuwa jela wote....ndo wanatusumbua humu jamvini.
Mmh? Tena [emoji2][emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji2][emoji3][emoji2]
 
Ndugai sijui ni kiongozi wa aina gani, wish ningekuwa na uwezo nimfumue kile kichwa niangalie ubongo wake ukoje.
Jaribu kumchunguza alivyo vimba vimba usoni na kichwa utagumdua kuna dawa anatumia
 
Hana akili tu na ana roho ya kinyama
 
ALIPOKUWA ANAUMWA ALIPANDA NDEGE KWENDA KWA MABEBERU KUTIBIWA. HUYU MTU NI TAAHIRA ASIYE NA KUMBUKUMBU.

YULE MWINGINE ALIKUWA ANAUMWA ILIBIDI AFE MIAKA MINGI ILIYOPITA ILA MABEBERU WAKAMUWEKEA BETRI KWENYE MOYO, NA KWA JINSI ASIVYO NA SHUKRANI AKAWA ANAWATUKANA WALIOSHIKA UHAI WAKE, Magofool!
 
Mwenyekiti wa mojawapo wa hizo kamati si mmoja wa wale wabunge wa viti maalum wasio na chama?

Amandla...
 
Tumsamehe bure mgonjwa ghali zaidi duniani...HAJITAMBUI...haya magonjwa huharibu mfumo wa ufahamu wa mtu
 
Hivi ndugai spika wa bunge anahofu ya mungu kwel?. Samahani wadau nimewaza Sana hasa Sisi tunae tumia kula nyama ya ngurue 85% maranyingi akilizetu some time zinarogwa na akili za yule mdudu maana wala ngurue wengi ni wanafiki na wanaroho mbaya,onasasa. Marais wote mungu amewaita mapema na wale waupande wapili wanadunda na kuenjoy kazi yao waliyo ifanya kwa haki 80%.
Ukiwa duniani tenda wema 80% tuache unafiki.
 
Umesikikiza hotuba ya MBOWE?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…