Spika Ndugai: Mnaogopa nini kuleta viambatanishi ili tuwavue Ubunge kwa Haki?

Spika Ndugai: Mnaogopa nini kuleta viambatanishi ili tuwavue Ubunge kwa Haki?

Sio kazi ya ndugai kamwe...kwa Sofia Simba na wabunge wa cuf hatukuyasikia hayo..
 
Spika Job Ndugai ameendelea kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kuwavua ubunge wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA, Mh Spika ameendelea kusisitiza kuwa anaongoza Bunge kwa Katiba, Sharia, Kanuni, Hekima na Utamaduni ili kutenda haki.

Mh Spika amevitaka vyama vya siasa pale wanapotaka kuwavua uanachama wabunge yawapasa kuambatanisha Katiba ya chama chao pamoja na Muhtasari wa Kamati Tendaji ya chama iliyofanya maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wanaopaswa kuwafukuza ili naye apate kujilidhisha kama utaratibu ulifuatwa na atende haki pasi kumuonea mtu yeyote.

Mh Spika ameongeza kuwa kwa mujibu uo atafanyakazi pia na msajiri wa vyama vya siasa maana yeye ndo ana Katiba za chama na kila wanapofanya mabadiliko ya Katiba kwenye vyama ua anapelekewa nakara za katiba ambazo ni latest.

Mh Spika amemalizia kwa kuhoji kwanini Chadema hawapeleki hizo nakala? Wanaogopa nini?




Huyu mzee drama sana Je huko nyuma ndiyo walikuwa na utaratibu huu au ni utaratibu mpya?
 
Ndugai anajiamini sana inaonekana kuna kitu anakijua na mkiendelea kumtukana kuna siku atakisema.

Tatizo misukule ya chadema tukisema hili chezo Mbowe na Mnyika wanalijua hamtaki kuelewa, ndio maana wenzenu waliwaita nyumbu!

Upuuzi mtupu, enzi za JK alikuwa naibu spika, mikataba ya gas ilipitia hapo bungeni kwa hati ya dharura, leo hii tunaambiwa gas sio yetu, yeye amebaki kuendekeza ushindani wa siasa za kijinga alizoachiwa na yule dhalimu. Mambo ya maana yanamshinda, kabaki kuendekeza siasa chafu kwenye hicho kiti.
 
Spika Job Ndugai ameendelea kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kuwavua ubunge wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA, Mh Spika ameendelea kusisitiza kuwa anaongoza Bunge kwa Katiba, Sharia, Kanuni, Hekima na Utamaduni ili kutenda haki.

Mh Spika amevitaka vyama vya siasa pale wanapotaka kuwavua uanachama wabunge yawapasa kuambatanisha Katiba ya chama chao pamoja na Muhtasari wa Kamati Tendaji ya chama iliyofanya maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wanaopaswa kuwafukuza ili naye apate kujilidhisha kama utaratibu ulifuatwa na atende haki pasi kumuonea mtu yeyote.

Mh Spika ameongeza kuwa kwa mujibu uo atafanyakazi pia na msajiri wa vyama vya siasa maana yeye ndo ana Katiba za chama na kila wanapofanya mabadiliko ya Katiba kwenye vyama ua anapelekewa nakara za katiba ambazo ni latest.

Mh Spika amemalizia kwa kuhoji kwanini Chadema hawapeleki hizo nakala? Wanaogopa nini?




Unasema tuwavue !!! Je wameingiaje hapo bila Chama kuwapitisha ?? Hapo ndiyo pa kuanzia Je utaratibu gani umetumika kwa spika kuwakubali hawa wabunge? Barua ziko wapi za kuwateuwa?
 
Mpaka hapo inaonesha wazi spika anajua chadema walikosea wapi kisheria ndio maana kila siku anawataka wapeleke.

Maybe kwenye hiko kikao akidi ilikuwa haijatimia au kuna mapungufu kutokana na Katiba yao.
kwani chadema waliwapa ubunge? mbona mnajitoa ufaham?
 
Hakuna anachoelewa yule. Ni ujinga tu. Suala siyo kufukuzwa uanachama, bali CHADEMA hawakuwahi kuteua wabunge wa viti maalum. Spika aseme alipata wapi majina?
Kwani barua waliyopeleka Bungeni ilikuwa ya kukana kuwa hawajapeleka majina NEC au ilikuwa ya kumtaarifu Spika kuwa ao watu waliopo humo Bungeni tumewafuta uanachama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UPUUZI MTUPU! Yeye kwanini asilionyeshe Taifa vielelezo vyote kuhusu kikao cha kuwateua hao COVID-19?
Spika Job Ndugai ameendelea kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kuwavua ubunge wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA, Mh Spika ameendelea kusisitiza kuwa anaongoza Bunge kwa Katiba, Sharia, Kanuni, Hekima na Utamaduni ili kutenda haki.

Mh Spika amevitaka vyama vya siasa pale wanapotaka kuwavua uanachama wabunge yawapasa kuambatanisha Katiba ya chama chao pamoja na Muhtasari wa Kamati Tendaji ya chama iliyofanya maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wanaopaswa kuwafukuza ili naye apate kujilidhisha kama utaratibu ulifuatwa na atende haki pasi kumuonea mtu yeyote.

Mh Spika ameongeza kuwa kwa mujibu uo atafanyakazi pia na msajiri wa vyama vya siasa maana yeye ndo ana Katiba za chama na kila wanapofanya mabadiliko ya Katiba kwenye vyama ua anapelekewa nakara za katiba ambazo ni latest.

Mh Spika amemalizia kwa kuhoji kwanini Chadema hawapeleki hizo nakala? Wanaogopa nini?

 
Ndugai kauliza swali dogo tu “wanaogopa nini kuambatanisha documents?”

Jibu pekee ni kuandika barua na kuweka hizo necessary attachments badala ya kukwepa, kupanga maandamano na kumtukana Ndugai. Ni bora kuabide ili mwisho wa siku Ndugae akose options.
hivi mbona hamna akili nyie documents za nini? barua ya kuwateua waliipata wapi waeleze hilo kwanza
 
Huyu mzee drama sana Je huko nyuma ndiyo walikuwa na utaratibu huu au ni utaratibu mpya?
Issue sio huko nyuma ila yeye anaongoza kwa sheria, kanuni na hekima pia hivo basi wataoluja huko mbele kuwa Maspika watamrefer pia Ndugai kuwa unapofukuza mwanachama ambae ni mbunge ili kuweka taarifa sawa basi wasilisha pamoja na muhtasari wa kamati tendaji na katiba yenu.

Nafikiri Ndugai hajakosea kwakweli ila shida hipo upande wa pili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa. Uliyeshangaa ni wewe. Unadhani Chadema wangepata wabunge na kura walizopata kama wangemsimamisha Slaa? Kumbuka hizo kura ndizo zilizowawezesha kujenga chama. Na baadae uamuzi wao ukathibitishwa kuwa ulikuwa sahihi baada ya Slaa kuhamia CCM. Sumaye na Nyalandu walikuja wenyewe na wameondoka wenyewe. Wote walikuwa na mvuto wao ambao ulitumika kujenga chama. Wameondoka lakini wale waliowavuta bado wapo kwenye chama.

Hivi unadhani leo Mbowe au Lissu wakiomba kujiunga na CCM, CCM watawakatalia? Mbona wamewapokea vizuri tu wakina Silinde, Waitara, Lijualikali, Halima nawengine ambao walikuwa wakiwatukana hivi karibuni?

Najua najisumbua kukufahamisha maana yote haya yako juu ya uwezo wako wa kufikiri.

Amandla...
Ndio maana nikakwambia hizo ni siasa hivyo huwezi kusema eti ndugai hampendi Mbowe
 
Back
Top Bottom