3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Hili suala limemtia doa sana Ndugai sasa anabaki kutapatapa tu ila kiukweli ndani ya nafsi yake anajua anachofanya siyo sahihi
Sisi kazi yetu kumkumbusha huu utaratibu mpya umeanza kwa suala la hawa 19 tu vipi kwa Sophia Simba, vipi kwa wale wa CUF wote walifanyiwa hivyo ha ha ha Ndugai acha kujitia wazimu bana
Kwanza ungewauliza hao wabunge uhalali wa kikao kilichowapitisha wao kuingia huko bungeni maana KM wa chama chao amekiri hakufanya hivyo na hata tume walikiri pia kuwa CDM hawakupeleka majina sasa usitake kuliacha hili ambalo ni la muhimu utake la kuwafukuza, hoji walifikaje huko kama kweli wewe ni mtenda haki, mtumia busara, mfata sheria taratibu na tamaduni
Mwishowe najua tu utakubali hili suala uliingizwa mkenge na kwa presha unayoipata mwisho utasalimu amri tu
Sisi kazi yetu kumkumbusha huu utaratibu mpya umeanza kwa suala la hawa 19 tu vipi kwa Sophia Simba, vipi kwa wale wa CUF wote walifanyiwa hivyo ha ha ha Ndugai acha kujitia wazimu bana
Kwanza ungewauliza hao wabunge uhalali wa kikao kilichowapitisha wao kuingia huko bungeni maana KM wa chama chao amekiri hakufanya hivyo na hata tume walikiri pia kuwa CDM hawakupeleka majina sasa usitake kuliacha hili ambalo ni la muhimu utake la kuwafukuza, hoji walifikaje huko kama kweli wewe ni mtenda haki, mtumia busara, mfata sheria taratibu na tamaduni
Mwishowe najua tu utakubali hili suala uliingizwa mkenge na kwa presha unayoipata mwisho utasalimu amri tu