Spika Ndugai: Mnaogopa nini kuleta viambatanishi ili tuwavue Ubunge kwa Haki?

Spika Ndugai: Mnaogopa nini kuleta viambatanishi ili tuwavue Ubunge kwa Haki?

Ndugai kauliza swali dogo tu “wanaogopa nini kuambatanisha documents?”

Jibu pekee ni kuandika barua na kuweka hizo necessary attachments badala ya kukwepa, kupanga maandamano na kumtukana Ndugai. Ni bora kuabide ili mwisho wa siku Ndugae akose options.
Yeye documets za kuwaapisha kama wabunge alizitoa wapi?

Yaani chama kifundishwe kazi na mpumbavu kama Job?.. AENDELEE KUWALINDA TU
 
yes wamepeleka majina wenyewe halafu wanayakana waende mahakamani wakaseme wamefogiwa
hivi kwanini wabunge wanatumia muda wetu vibaya kwa kila siku kuzungumzia mambo yasiyo na tija kwa taifa?
kwanini wasitafute muda mwingine na wayamalize hii kitu inakera!
ni sawa na huku kwetu ugogoni watu wanasikia furaha ukifungwa kuliko kumlipa deni na tena kabla hajakupeleka mahakamani anatamka na kumuomba hakimu akufunge miaka 5 na yupo tayari kumaliza ng'ombe hakimu anavuta na rufaa ipo wazi unaweza kutoka vilevile ndo hiyo kesi watu wanakaza wakati wao ubunge wao ni wa mashaka kuanzia kupitishwa kwao mpaka uchaguzi wao.
 
Spika Job Ndugai ameendelea kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kuwavua ubunge wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA, Mh Spika ameendelea kusisitiza kuwa anaongoza Bunge kwa Katiba, Sharia, Kanuni, Hekima na Utamaduni ili kutenda haki.

Mh Spika amevitaka vyama vya siasa pale wanapotaka kuwavua uanachama wabunge yawapasa kuambatanisha Katiba ya chama chao pamoja na Muhtasari wa Kamati Tendaji ya chama iliyofanya maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wanaopaswa kuwafukuza ili naye apate kujilidhisha kama utaratibu ulifuatwa na atende haki pasi kumuonea mtu yeyote.

Mh Spika ameongeza kuwa kwa mujibu uo atafanyakazi pia na msajiri wa vyama vya siasa maana yeye ndo ana Katiba za chama na kila wanapofanya mabadiliko ya Katiba kwenye vyama ua anapelekewa nakara za katiba ambazo ni latest.

Mh Spika amemalizia kwa kuhoji kwanini Chadema hawapeleki hizo nakala? Wanaogopa nini?

mwendazake alipeleka viambatanishi alipomtumbua sophia simba?
 
Hawa wabunge 19 hawakuwai kuteuliwa na chama chini ya katibu mkuu Myika Je wewe ulipokea barua ya kuteuliwa kwao kutoka kwa katibu mkuu?
wewe una aibisha wana sheria wenzako bora ungekaa kimya ndugai hawezi kuteua watu lazima kuna majina kaletewa na kapokea kutoka tume sasa kwanini msiende tume kuuliza hayo majina alipeleka nani kwa ndugai mnashambulia mtu aliyeletewa majina msizani ndugai ni minga kama nyinyi anajua analofanya
 
Tuwaonee huruma kina Mdee.... watakuwa wanapitia wakati mgumu sana.
 
Spika Job Ndugai ameendelea kutoa ufafanuzi juu ya utaratibu wa kuwavua ubunge wabunge 19 wa viti maalumu wa CHADEMA, Mh Spika ameendelea kusisitiza kuwa anaongoza Bunge kwa Katiba, Sharia, Kanuni, Hekima na Utamaduni ili kutenda haki.

Mh Spika amevitaka vyama vya siasa pale wanapotaka kuwavua uanachama wabunge yawapasa kuambatanisha Katiba ya chama chao pamoja na Muhtasari wa Kamati Tendaji ya chama iliyofanya maamuzi ya kuwavua uanachama wabunge wanaopaswa kuwafukuza ili naye apate kujilidhisha kama utaratibu ulifuatwa na atende haki pasi kumuonea mtu yeyote.

Mh Spika ameongeza kuwa kwa mujibu uo atafanyakazi pia na msajiri wa vyama vya siasa maana yeye ndo ana Katiba za chama na kila wanapofanya mabadiliko ya Katiba kwenye vyama ua anapelekewa nakara za katiba ambazo ni latest.

Mh Spika amemalizia kwa kuhoji kwanini Chadema hawapeleki hizo nakala? Wanaogopa nini?

Huyi mtu nadhani kuna ujonga alioamua kuutumikia. Yeye anaongelra kuwavua ubunge lwa sababu ya covid 19 kufukuzwa uanachama. Haelewi hata hoja iloyopo!

CHADEMA wanasema hawakuwahi kuwateua wabunge wa viti maalum. Spika aseme hayo majina aloyapata wapi?
 
Mpaka hapo inaonesha wazi spika anajua chadema walikosea wapi kisheria ndio maana kila siku anawataka wapeleke.

Maybe kwenye hiko kikao akidi ilikuwa haijatimia au kuna mapungufu kutokana na Katiba yao.
Hakuna anachoelewa yule. Ni ujinga tu. Suala siyo kufukuzwa uanachama, bali CHADEMA hawakuwahi kuteua wabunge wa viti maalum. Spika aseme alipata wapi majina?
 
Anatakiwa awaulize tume ya uchaguzi NEC walipataje majina ya hao covid wanao lalamikiwa na CHADEMA. Hili ni bomu lao na sio issue ya chadema.
 
Hakuna anachoelewa yule. Ni ujinga tu. Suala siyo kufukuzwa uanachama, bali CHADEMA hawakuwahi kuteua wabunge wa viti maalum. Spika aseme alipata wapi majina?

Alishasema majina aliletewa na tume
 
hivi kwanini wabunge wanatumia muda wetu vibaya kwa kila siku kuzungumzia mambo yasiyo na tija kwa taifa?
kwanini wasitafute muda mwingine na wayamalize hii kitu inakera!
ni sawa na huku kwetu ugogoni watu wanasikia furaha ukifungwa kuliko kumlipa deni na tena kabla hajakupeleka mahakamani anatamka na kumuomba hakimu akufunge miaka 5 na yupo tayari kumaliza ng'ombe hakimu anavuta na rufaa ipo wazi unaweza kutoka vilevile ndo hiyo kesi watu wanakaza wakati wao ubunge wao ni wa mashaka kuanzia kupitishwa kwao mpaka uchaguzi wao.
Ni ajabu sana, ndugai na timu yake walishaambiwa anademka bungeni hataki kusikia.
Hayo anayoongea kila siku bungeni kuhusu hao kina mama hayana tija kwa Taifa na KODI zetu.
 
Hakuna cha vielelezo,kweli wew mgogo.Ni kanuni au sheria ipi inayotaka hivyo vielelezo?Ujeuri wote wa hilo jamaa lenu limevimba sura km nguruwe wa kwetu unatokana na katiba anayoidharau,unafikuri tunawafundisha nin wananchi tunapodharau katiba?Hivi unajua Ndugai nje ya katiba ni mtu wa kawaida hana ujeuri na hawez kuamrisha?Askari wake na wasaidize wote wampuuze kwa kudharau katiba unafikiri itakuaje?

Hata nyie mlidharau katiba na sheria kwa kugoma kupeleka wabunge wa viti maalum wakati ni jambo la kisheria
 
swala la chadema waekosea wapi au akidi haijatimia sio lake hio ni issue ya MAHAKAMA . kageuza ofisi ya UMA kua ofisi binafsi anajipangia atakalo

Na nyie chadema si muende mahakaman kuomba tafsiri? Sasa Tweeter na Jf vitasaidia nn?

Viongozi wenu wanajua kila kitu walichofanya
 
Back
Top Bottom