Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Yeye mwenyewe ni mlemavu wa akili
 
Comrade 'ZUZU' katika ubora wake
 

 
Subwoofer ktk tambo zake
 
Kwani Jenerali ni nani mpaka kudhihaki bunge na spika? Kwanza Jenerali siyo mtanzania
Ni mtanzania na mzalendo kuliko wewe, la msingi ni kupangua hoja zake kwa hoja kama WAWEZA. Vitisho vya mungu mtu Ndugai ni vichekesho hata kwa watoto wa darasa la awali.
 
Kwani sasa hivi kuna Bunge linalo endelea? Na linazungumzia nn mbona Sisi wananchi hatujui kama kuna bunge
 
Mtu mwenye vidole nusu si wa kujibishana nae
 
Hoja please?
 
Eti bunge, my foot. Akitumwa bunge ataleta hicho kikundi Cha wezi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…