johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Mnyika akajifunze kwa PhD inayoheshimika!Katibu Mkuu yule aliyekuwa anawaita akina makamba kwenye vyombo vya habari au Katibu Mkuu mwengine huyo huyo aliyekuwa anakataliwa na Membe kuwa hajafuata utaratibu.
Huo ubavu hawana.Chadema wanashindwa kumuuliza mlevi wa konyagi kulikoni?
Ulitaka aseme lini?Hakupaswa kusema Sasa...amewapa point chadema za bure
Kivipi na wapi?Kamati kuu imeshafeli!
Unamaanisha kamati kuu hii ya kina mdee au?mbona spika ameanza kupagawa na kuchanganyikiwa kabla kamati kuu haijatoa maamuzi kesho
Mwamba anatisha!Huo ubavu hawana.
Wabunge wake 19 ni muhimu kwa serikali kuliko wabunge wote wa ccm. Tamko la CHADEMA imewatoa wote waliohusikaUtisho wa chadema uko wapi mkuu?
Kwasababu wameshakula kiapo, hivyo nao ni sehemu ya mhimili wa nchi, ambao ni bunge.Mbona Mihimili ya Nchi ina watetea sana? Kuna nini?
AG kasema mchakato wote ni halali kwa mujibu wa katiba na sheria!Kivipi na wapi?
Ndugai anawafundisha kazi ya katibu.Haahaa chadema inatisha.Yaani ndugai kaamua kujiingiza mzimamzima Mambo ya chadema.duh...
Jibu zuri!Kwasababu wameshakula kiapo, hivyo nao ni sehemu ya mhimili wa nchi, ambao ni bunge.
Hakuna Cha uzuri wowote hapa mkuu tusidanganyane, yeye hakupaswa kuwa na kiherehere chochote juu ya Mambo ya chama Cha watu.angetulia kwanza..Spika Ndugai ametoa ufafanuzi mzuri sana!
Endelea kukariri bwashee!ndugai ni chadema kitambo sana
Bashiru mwenyewe alikuwa CUF.Mnyika akajifunze kazi kwa Dr Bashiru!
Yeye anawalinda wabunge wake!Hakuna Cha uzuri wowote hapa mkuu tusidanganyane, yeye hakupaswa kuwa na kiherehere chochote juu ya Mambo ya chama Cha watu.angetulia kwanza..
Muhimu ni utendaji wake bwashee!Bashiru mwenyewe alikuwa CUF.
Nawe ukaamini huo upendo mpya WA GHAFLA waliyonao wachawi wa CHADEMA.AG kasema mchakato wote ni halali kwa mujibu wa katiba na sheria!