Spika Ndugai: Nyani wanashangilia kifo cha mkulima wa mahindi wanasahau mwakani hawana pa kula

Hivi Ndugua ndiyo amerithishwa mikoba ya kuwa anatamka maneno ya kutia kinyaa nchini?
 
Hata mimi ni mkristo lakini huwa naona sisi wakristo ni wababe wa hovyo sn, usishangae huyu mama akaendeleza hata mchakato wa katiba mpya.
 
Huko kuita wenzao ngani ni kawaida yao.... SI UNAKUMBUKA MWINGINE ALIMWITA MWENZIE TUMBILI
 
Inaonekana Ndugai mwenyewe haielewi vizuri hii hadithi ila ameamua kuisema ili aonekane ni mhenga/ana hekima.
 
Kumbe usiwaite wamatumbi wastaafu waliosomesha watoto wao wakiwa na matumaini watapata ajira, watajitegemea badala yake watoto wao wamebakia majumbani, wasijue la kufanya, wanasaiidiana kufuatalia mafao ya kustaafu.
Au wanaambiwa majukwaani wajiajiri, na watu wanaotembelea maviete kwa kodi za wazazi wao na makusanyo tokea HESLB yasiyokuwa na mwisho.

Wangejua mpango wa serikali ni kutokutoa ajira wangetunza hizo fedha na kufanyia mambo mengine. Watoto wakachunga ng'ombe au kuwa vibarua mashambani au wakapiga debe n.a. kuwa makondakta.

Hao unaoongelea waliojenga majiji ya mabeberu wengi wao walikuwa cheap labour za kutoka nchi za mbali, na bado ukilinganisha nchi walizotokea, ujira waliopata waliweza kuishi wao, na kutunza familia walizoziacha huko mbali.
Sisi ni kinyume chake, wageni wanalipwa ujira mkubwa wazawa wanalipwa kiduchu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kwenye kuendeleza kusimamia haki mwenye macho aambiwi tazama, viongozi wote wameona vilio vya wananchi wanyonge nani atawatetea tena...
Matokeo ya Rushwa na propaganda za hovyo ngoja tuishi miezi minne ijayo bila huyo mwamba utasikia maneno tofauti kwa hao waburutwa.
 
Utanyooka tuu Mataga wewe
Mama ameshika usukani
Mmezoea kupiga dili Sasa mtakula mavi yenu

Nliwaambia muache hiyo tabia ya wizi hamkusikia
Pambaneni na hali zenu mataga nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…