Mheshimiwa Ndugai kwa kutoa maoni yake kama mtanzania na kama mbunge hakuvunja sheria yoyote.
Kilichofuata baada ya kauli yake hakuna asiyekijua.
Labda ilikuwa katika kudhania afunike kombe, kumbe hapo tena ndipo sasa wale nyuki wa mama walipokuwa wanasubiri!
Kwa matukio mawili haya sasa tunayo picha kamili ya watu wanaotuongoza:
Watu hawa ni muda sasa uthabiti wao wa kutuongoza ukahakikiwa kwa kura ya kuwa na imani nao.
"Job Ndugai tembea kifua mbele."
Kama vipi fikiria kuitisha kikao cha bunge cha dharura kabisa kwa ajili ya kadhia hii.
Taifa lina stahili viongozi thabiti.
Nchi huendeshwa kwa mujibu wa katiba.
Kilichofuata baada ya kauli yake hakuna asiyekijua.
Labda ilikuwa katika kudhania afunike kombe, kumbe hapo tena ndipo sasa wale nyuki wa mama walipokuwa wanasubiri!
Kwa matukio mawili haya sasa tunayo picha kamili ya watu wanaotuongoza:
Watu hawa ni muda sasa uthabiti wao wa kutuongoza ukahakikiwa kwa kura ya kuwa na imani nao.
"Job Ndugai tembea kifua mbele."
Kama vipi fikiria kuitisha kikao cha bunge cha dharura kabisa kwa ajili ya kadhia hii.
Taifa lina stahili viongozi thabiti.
Nchi huendeshwa kwa mujibu wa katiba.