Spika Ndugai, pamoja na Msamaha kukataliwa atembee Kifua mbele

Spika Ndugai, pamoja na Msamaha kukataliwa atembee Kifua mbele

O


Hahahaa haa itabidi umtake radhi.

Hadi sasa mbona kwa uelewa wake mechi mbona bado sana?

Mbona hata hajajipambañua katika first 11 yake nani ni nani?
Chief First 11 yake watakuwa wale Covid 19 je wanaweza wakamiliki mpira wamsaidie ashinde huu mpambano
 
Chief First 11 yake watakuwa wale Covid 19 je wanaweza wakamiliki mpira wamsaidie ashinde huu mpambano

Kwani wale ma striker mahili wazee wa legacy wote wako zamu kwenye lindo muda wote?
 
Alitakiwa jana alipoitisha press na waandishi wa habari asiikane kauli yake hapo bado watu wangekuwa nae lkn baada ya kukana alichokisema hakuna atakae kuwa nyuma yake

Kwani alipokuwa hajaitisha waliokuwa naye uliwaona?
 
Ukishaona speaker wa Bunge ambae ni mhimili huru wa dola unaojitegemea ametoa msimamo wake juu ya jambo fulani halafu ghafla akamuomba msamaha Rais kwa msimamo aliotoa, jua hilo Taifa limefika mwisho na limekufa.

"Mpaka 2025 tutaona na kusikia mengi." -- Mzee wa Upako.
 
Huyo mama asimzingue Ndungai asidhani kujiongelesha hvyo ndo ubabe sana nchi sio ya mjomba ake hii
 
Mheshimiwa Ndugai kwa kutoa maoni yake kama mtanzania na kama mbunge hakuvunja sheria yoyote.

Kilichofuata baada ya kauli yake hakuna asiyekijua.

Labda ilikuwa katika kudhania afunike kombe, kumbe hapo tena ndipo sasa wale nyuki wa mama walipokuwa wanasubiri!

Kwa matukio mawili haya sasa tunayo picha kamili ya watu wanaotuongoza:

View attachment 2069426

Watu hawa ni muda sasa uthabiti wao wa kutuongoza ukahakikiwa kwa kura ya kuwa na imani nao.

"Job Ndugai tembea kifua mbele."

Kama vipi fikiria kuitisha kikao cha bunge cha dharura kabisa kwa ajili ya kadhia hii.

Taifa lina stahili viongozi thabiti.

Nchi huendeshwa kwa mujibu wa katiba.
kila mtu anaruka gogo
 
Wale wote wana yellow card wanatakiwa wawe waangalifu wasije wakala red card.

Aliyejipa pia urefa ni huyu huyu tokea kwenye ule mhimili uliojichimbia zaidi?
 
Asijaribu, mpaka sasa kama ni ball possession amezidiwa sana.
Nani amekudanganya kwamba kuongoza kwa ball possession ndiyo ushindi, watu wanatumia counter attack sikuizi.
Hii mechi ni tamu sana ni sawa na dabi ya kariakoo, wacha tusubiri dakika 90 zitaamua.
 
Nani amekudanganya kwamba kuongoza kwa ball possession ndiyo ushindi, watu wanatumia counter attack sikuizi.
Hii mechi ni tamu sana ni sawa na dabi ya kariakoo, wacha tusubiri dakika 90 zitaamua.

Hao ndiyo wale kina "chenga twawala" 😁😁.
 
Nani amekudanganya kwamba kuongoza kwa ball possession ndiyo ushindi, watu wanatumia counter attack sikuizi.
Hii mechi ni tamu sana ni sawa na dabi ya kariakoo, wacha tusubiri dakika 90 zitaamua.
Nani wakucheza counter hapo kwenye kikosi chake, wachezaji wake wote wana yellow card.
shots on target 0
shots off target 1 (kuomba msamaha)
 
Unafiki unafiki unafiki unafiki unafiki

Nimeambiwa yuko ambaye kasahau kwamba aliwambia wananchi hadharani kuunganishiwa umeme ni flati rate 27,000 shillingi kamili. Kageuka huyo huyo anasema mlidanganywa bado nafuatilia nijue ni nani msahaulifu kiasi hicho cha kujibomoa kwa maneno kinywa chake mnyewe.
 
Nilichojifunza, hawa wasaidizi wa Adam wana mioyo midogo sana. Na wanapopata nguvu huenda ni madikteta sana na wanaendeshwa na emotions sana
 
Back
Top Bottom