Nilichojifunza, hawa wasaidizi wa Adam wana mioyo midogo sana. Na wanapopata nguvu huenda ni madikteta sana na wanaendeshwa na emotions sana
Ndugai kwa kweli sina huruma naye, Mburukenge kabisa yule; atangulie kibla mama naye tutashughulika naye tukishamalizana na NdugaiMheshimiwa Ndugai kwa kutoa maoni yake kama mtanzania na kama mbunge hakuvunja sheria yoyote.
Kilichofuata baada ya kauli yake hakuna asiyekijua.
Labda ilikuwa katika kudhania afunike kombe, kumbe hapo tena ndipo sasa wale nyuki wa mama walipokuwa wanasubiri!
Kwa matukio mawili haya sasa tunayo picha kamili ya watu wanaotuongoza:
View attachment 2069426
Watu hawa ni muda sasa uthabiti wao wa kutuongoza ukahakikiwa kwa kura ya kuwa na imani nao.
"Job Ndugai tembea kifua mbele."
Kama vipi fikiria kuitisha kikao cha bunge cha dharura kabisa kwa ajili ya kadhia hii.
Taifa lina stahili viongozi thabiti.
Nchi huendeshwa kwa mujibu wa katiba.
Ndugai kwa kweli sina huruma naye, Mburukenge kabisa yule; atangulie kibla mama naye tutashughulika naye tukishamalizana na Ndugai
Usinihusishe na hao wajinga wa chama takataka; dhulma ambazo Ndugai alimfanyia Lissu unaanzaje kumwonea huruma jambazi yule wa Kongwa? Wacha lijifie huko, hata akitangaza Bunge kumlipa Lissu hela zake usiku huu, siwezi kuwa na huruma nayeKama hata kamanda Lissu anasema haya:
Lissu amtetea Job Ndugai, asema lazima kuna jambo
Au vita vyao uliko uko na kina jingalao Idugunde na kina Ibambasi?
sawa ngoja tuangalie itakuwaje.Nani wakucheza counter hapo kwenye kikosi chake, wachezaji wake wote wana yellow card.
shots on target 0
shots off target 1 (kuomba msamaha)
Usinihusishe na hao wajinga wa chama takataka; dhulma ambazo Ndugai alimfanyia Lissu unaanzaje kumwonea huruma jambazi yule wa Kongwa? Wacha lijifie huko, hata akitangaza Bunge kumlipa Lissu hela zake usiku huu, siwezi kuwa na huruma naye
Ni kweli kuna wakubwa wengi wanamuunga mkono. lakini mama amewawahi na wote wamenywea!! Wanaume wazima wameufyata mkia!!! Kiti alichokalia mama ni kikali, akiamua kukushughulikia kazi unayo!! kama unabisha mwulize ndugai!! Pamoja na kujisifu kuwa ana faili milembe, hicho kichaa kimepona ghafla! ulishawahi kumwona kichaa anaomba msamaha? historia imeandikwa ! Siyo wote wanaomuunga mkono mama hadharani wako pamoja naye la hasha na mama anajua!! kuna mmoja alimtaja kwa jina lake la kwanza!!Sizani kama alikurupuka..
Ila nachoamin kuna watu wanamuunga hasa wakubwa.
Siasa za wazi..Ni kweli kuna wakubwa wengi wanamuunga mkono. lakini mama amewawahi na wote wamenywea!! Wanaume wazima wameufyata mkia!!! Kiti alichokalia mama ni kikali, akiamua kukushughulikia kazi unayo!! kama unabisha mwulize ndugai!! Pamoja na kujisifu kuwa ana faili milembe, hicho kichaa kimepona ghafla! ulishawahi kumwona kichaa anaomba msamaha? historia imeandikwa ! Siyo wote wanaomuunga mkono mama hadharani wako pamoja naye la hasha na mama anajua!! kuna mmoja alimtaja kwa jina lake la kwanza!!
Ni kweli kuna wakubwa wengi wanamuunga mkono. lakini mama amewawahi na wote wamenywea!! Wanaume wazima wameufyata mkia!!! Kiti alichokalia mama ni kikali, akiamua kukushughulikia kazi unayo!! kama unabisha mwulize ndugai!! Pamoja na kujisifu kuwa ana faili milembe, hicho kichaa kimepona ghafla! ulishawahi kumwona kichaa anaomba msamaha? historia imeandikwa ! Siyo wote wanaomuunga mkono mama hadharani wako pamoja naye la hasha na mama anajua!! kuna mmoja alimtaja kwa jina lake la kwanza!!
Yaàni kuna watu wanadhani wao tu ndio wana matumbo!! Bila aibu wanataka mama asivuke 2025!! eti serikali ya mpito!!