Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hakuna bunge hapo ni genge la wahuni tupuKwa katiba hii, bunge litaendelea kuwa dhaifu mpaka Nyerere ageuke alipolala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna bunge hapo ni genge la wahuni tupuKwa katiba hii, bunge litaendelea kuwa dhaifu mpaka Nyerere ageuke alipolala
Hivi kaomba radhi kwa “kosa” gani haswa?Tungekuwa na bunge imara kama la Kenya wala asingeomba radhi
Kama alivyokufanyiaRekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Ameogopa kufutwa uanachamaHivi kaomba radhi kwa “kosa” gani haswa?
Tena jinsia tofautiSpika wa kwanza kumuomba radhi Rais. Tabu kubwa hii
Hatari na nusuNadhani aliona Noah Nyeusi zinazunguka maeneo ya nyumbani
DuuhhAtaikana Ile clip kuwa hakusema hivyo
Yaani ndo kajianika vizuriRekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Na imekuaAsije kuyakana Meneno yake tu na kusema wamnukuu vibaya.
Ni wazi kauli yake imeleta uharibifu na mkanganyiko Mkubwa sana. Kwanini alikawia kuomba radhi? Tena badala ya kufafanua akadai anasemwa kwasababu yeye ni Mgogo!
Ndugai angeweza hata kutoa press release kama kweli alikuwa anaumwa kama anavyodai lakini aliamua kukaa kimya mpaka leo Je alikuwa anapima nini?
Je radhi yake ni ya kweli? Au ni namna ya kuwakabili wabunge kwenye kamati zinazotarajiwa kuanza?
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Samahani haitoshiiiimsamaha ni pale unapotakiwa kusema "nimekosea, niliteleza, nisamehe". ukisema sikuwa na nia mbaya, ila naomba unisamehe kwa sintofahamu, hapo haujaomba msamaha kwasababu haujakirikosa. lazima ukirikosa ndio msamaha ufuate, hata kwa Mungu huwa tunaenda hivyo. unamwambia Mungu nimezini, nimeiba, nina makosa, mimi sio msafi nilijichafua, naomba unisamehe, unioshe uchafu wangu. basi. tusifanywe kwama watoto wadogo hapa.
Ni kati ya fasihi bora kuiona kwenye ulingo wa siasa kwa miaka ya karibuni.Wakuu
Hii press ya Job leo unaichambuaje?
Je, Ndugai & The Gang walikuwa wanaupima upepo?
Je, wananchi ama wanaharakati wangeonesha kumuunga mkono angefanya hii submission press ya leo?
Thinkers wa JF, mnaiangaliaje hii move ya Ndugai kuomba radhi hadharani leo akiwa kama mkuu wa Mhimili huru wa Bunge? Jambo hili limekaaje
Kisiasa
Kiusalama
Kidemokrasia
Pascal Mayalla
Mshana Jr
figganigga
Mzito Kabwela
Mchambuzi87
Wataibuka tuuu...kuni mbichi hazinaga mchezo. 😄 🤣 😂 😆yeh! Tia moto tia moto moshi ufuke
Khaa punguza hasira kidogoAcha chuki wewe mwanamke, kaa utunze watoto hapo home. CHUKI ZA KIWAKI HAZIKUSAIDII. WE KILA MCHANGO WAKO NI CHUKI KWA RAIS.