James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Gwajima ni tapeli lililokubuhu!Ndugai hamuwezi Gwajima japo wote siwakubali, yule Gwajiboy kapinda sanaa alafu anajita mchungaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwajima ni tapeli lililokubuhu!Ndugai hamuwezi Gwajima japo wote siwakubali, yule Gwajiboy kapinda sanaa alafu anajita mchungaji
Ujumbe gani?. Mtoa ujumbe amekanusha ujumbe aliotoa na kusema alinukuliwa vibaya. Kitendo Cha kukanusha ujumbe kutoka kwa mtoa ujumbe kunafanya ujumbe uwe batili maana tutakaye mnukuu ameubatilisha ujumbe wake.Ishu ni ujumbe wake umefika,
Hizo nyingine mbwembwe tu
Wanasiasa wengi ni waoga hapa Tanzania ukiwatishia ugali wao wanapatwa na muhaho na kubadili misimamo yao. Spika mzima wa bunge anashindwa kuwa na msimamo. Amezidiwa na akina pole pole.Huyu jamaa aache uoga, maana tukichekeana hapa tutakuja kupigwa mnada kama alivyosema mwanzo, huwezi kukopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa miradi isiyo ya kimkakati tena bila idhini ya bunge halafu tukabaki salama, no way!!
Ni sawa na ule wa Vick Kamata wa kumnanga marehemu Magu kisha baadae akaufuta, lakini meseji ilikuwa imeshafika.Ujumbe gani?. Mtoa ujumbe amekanusha ujumbe aliotoa na kusema alinukuliwa vibaya. Kitendo Cha kukanusha ujumbe kutoka kwa mtoa ujumbe kunafanya ujumbe uwe batili maana tutakaye mnukuu ameubatilisha ujumbe wake.
Kwakweli, maana hamna namna tenaWanasiasa wengi ni waoga hapa Tanzania ukiwatishia ugali wao wanapatwa na muhaho na kubadili misimamo yao. Spika mzima wa bunge anashindwa kuwa na msimamo. Amezidiwa na akina pole pole.
Hapa kilichobaki ni kusubiria mwezi wa nne Tundu Lissu arudi maana ndio mwenye misimamo isiyoyumba.
Ndugai ana hoja ya msingi sn tatizo ni bunge kuwa dhaifuMi naona ndugai kaleta changamoto nzuri kwa uongozi wala hakukosea kitu.
Watu wanakuja tu na mapesa yao kuwakopesha kwa mguvu ili mnunue matakataka au bidhaa au huduma toka makampuni yao halafu nchi inakopa ttu
Wanapata faida tupu mara mbili. Kwanza kuwakopesha mnalipa riba pilinanunua toka kampuni za kwao tena bei kubws tu. Sisi ni hasara tupu. Kwanza kidaikolojia wanakufanyeni tegemezi na wajinga. Pili mnachokopea hakina maana tena hela za mkopo zinaliwa na wao kushirikiana na wenyeji. Unakuta hakuna impact yoyote kwa mchi.
Alichosema ndugai tuwe na mikopo ya kuamua wenyewe kufuatana na mipango yetu sio kusukumiziwa mikopo ya kilaghai na kinyonyaji.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana"
Tangu kuzaliwa kwangu sijawahi mwungamia binadamu mwenzangu.
Kwa katiba hii, bunge litaendelea kuwa dhaifu mpaka Nyerere ageuke alipolalaTungekuwa na bunge imara kama la Kenya wala asingeomba radhi
Nadhani aliona Noah Nyeusi zinazunguka maeneo ya nyumbaniMi naona ndugai kaleta changamoto nzuri kwa uongozi wala hakukosea kitu.
Watu wanakuja tu na mapesa yao kuwakopesha kwa mguvu ili mnunue matakataka au bidhaa au huduma toka makampuni yao halafu nchi inakopa ttu
Wanapata faida tupu mara mbili. Kwanza kuwakopesha mnalipa riba pilinanunua toka kampuni za kwao tena bei kubws tu. Sisi ni hasara tupu. Kwanza kidaikolojia wanakufanyeni tegemezi na wajinga. Pili mnachokopea hakina maana tena hela za mkopo zinaliwa na wao kushirikiana na wenyeji. Unakuta hakuna impact yoyote kwa mchi.
Alichosema ndugai tuwe na mikopo ya kuamua wenyewe kufuatana na mipango yetu sio kusukumiziwa mikopo ya kilaghai na kinyonyaji.