Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Siku hizi unarusha jiwe gizani halafu unasikilizia. Kelele zikizidi unaitisha press na kuzuga uliteleza au ulinukuliwa vibaya but mwisho wa siku the message has been sent.
So the bottomline is hoja ijibiwe kwa hoja.
 
Hakunaga kundi hilo la Sukuma Gang ni just an imaginary group made up by yule mzushi wa twitter, but in reality, Sukuma doesn't exist anywhere!.
P
Ni kweli kiuhalisia wa kuonekana kama kundi lililo na makao, sukumagang hailipo,

bali inahisiwa kuwa watumiaji wake humaanisha kuwa wale wote waliokuwa na mlengo wa kusifu na kuabudu mapambio ya mambo ya / na mh Magufuli na zaidi wakiwatweza wakosoaji wake hao ndio wako ktk kundi hilo.
 
Huyu jamaa aache uoga, maana tukichekeana hapa tutakuja kupigwa mnada kama alivyosema mwanzo, huwezi kukopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa miradi isiyo ya kimkakati tena bila idhini ya bunge halafu tukabaki salama, no way!!
Acha chuki wewe mwanamke, kaa utunze watoto hapo home. CHUKI ZA KIWAKI HAZIKUSAIDII. WE KILA MCHANGO WAKO NI CHUKI KWA RAIS.
 
Siku hizi unarusha jiwe gizani halafu unasikilizia. Kelele zikizidi unaitisha press na kuzuga uliteleza au ulinukuliwa vibaya but mwisho wa siku the message has been sent.
So the bottomline is hoja ijibiwe kwa hoja.
Na ndio maana China inaendelea. hakuna kuombana msamaha, unakula shaba tunaanua matanga.
 
Huyu jamaa aache uoga, maana tukichekeana hapa tutakuja kupigwa mnada kama alivyosema mwanzo, huwezi kukopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa miradi isiyo ya kimkakati tena bila idhini ya bunge halafu tukabaki salama, no way!!
Mkuu usiwaze! Ujumbe wa Ndugai umeshafika kunako!
 
Anaomba raisi amsamehe sana. Amuonee huruma maana amekosa sana na haikuwa dhamira yake kuleta taharuki bali janja janja tu za watu kutaka kumchafua.

Wewe ulitaka afanyaje? Aache mshahara, rupurupu, aingie kwenye vita na amiri jeshi mkuu?
Lakini ujumbe wa Ndugai si umefika?
 
Ndugai itakuwa amenyimwa posho kwenye mzigo ambao serikali wamekopa
 
ukiona adui yako anakuomba radhi ongeza umakini, siasa ni mchezo wa kimafya sana.
 
Back
Top Bottom