Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Watakuwa ni wa kuanzisha uzi kila kukicha ili wapate kuungwa mkono wakidhani hiyo inawasaidia. Kumbe ni kujifariji tu.Kuna Wapumbavu wa Sukuma gang humu niliwaambia, kama mlikuwa hamumtaki mama mlikuwa na mambo mawili tu ya kufanya.
1. Mngezuia asiapishwe
2. Kama ameapishwa kuwa Rais mngekiteka Chama kwamba mwenyekiti lazima ashindanishwe kwenye uchaguzi, ungefanyika uchaguzi na Sukuma gang wangeweka mwenyekiti wao ambao Rais lazima acompromise nao.
Yote mawili wameshindwa Samia ndio Rais, ndio Amiri jeshi mkuu na ndio mwenyekiti wa chama.
Ni kichaa peke yake ndio unaweza kupingana na mtu mwenye status hii.
Mama ajiombee afya tu, Mungu akimpa kibali yupo ikulu mpaka 2030 loud n clear.
Rais ni mtu mkubwa sana hapa Tanzania. Ndio bosi wa kila taasisi.