Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakubaliana na wanaoshindana na raisi wapotee?Stupid Zake anataka kushindana na Rais? Atapotea?
Toa upumbavu wako hapa,au na wewe toka hadharani uongee haya.Huyu mzee haeleweki hata anachoongea, go straight to the point, huwezi kukopa kujenga madarasa na vyoo na ukapiga pasu pesa nyingi zikaenda kuijenga zanzibar ukilinganisha eneo lake na idadi ya watu.........kwa nini viongozi wa nchi hii ni wanafiki sana!?
Sanaaaaa. Kama safari ni kukitikisa kiti bado.Bado tuna safari ndefu sana.
Ndugai mhuni Kama wahuni wengine, anaomba msamaha so whatBaada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.
NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3
Spika Job Ndugai amesema kauli yake aliyoitoa Desemba 26, 2021 alipoalikwa kwenye tukio la makumbusho ya wagogo kuwa imechukuliwa vibaya na kuleta mkanganyiko
Amesema alikuwa anazungumza kuhusu sababu iliyoifanya bunge kukubali na kuipitisha tozo na sio kuwa alikuwa akizungumzia taasisi nyingine yoyote
Ndugai amesema video iliyosambaa ilikatwa bila kuleta ujumbe kamili aliokuwa amekusudia. Ameumia kuonekana anapinga mkopo wa serikali
NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE
Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho yake ili wanaotembelea ofisi hizo wajue historia ya bunge kwa namna ilivyokuwa
Jambo hilo amesema ni muhimu hata kwa taasisi nyingine kuwa na makumbusho yake ili watu waweze kujua kuhusu historia ya taasisi husika
Amesema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari ofisi za Bunge Dodoma
NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE
Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
Amesema yeye ni CCM ambao lengo lao ni moja hawawezi kutofautiana. Kuna watu wanaojaribu kuwafarakanisha lakini hawatafanikiwa
Ndugai amesema Rais anafanya vizuri lakini peke yake hawezi kwa hiyo ni jukumu la watu wote kumsaidia
Na hapa ndo hoja ya katiba mpya inapopata nguvu, inakuwaje spika wa bunge anaongea kinyonge namna hiyo, anazidiwa hata na kiongozi wa TUCTA......I now agree huyu mzee kachoka ajiuzulu tu.
Huyo atabakia kupayuka hivyo kama alivyofanya miaka 6 iliyopita with nothing tangible zaidi ya maumivu.Hapa ni kumsubiri Tundu Lissu arudi ili atusemehe maana Hawa wengine wamechagua upande wa ajira, heshima binafsi na vyeo.
[emoji3][emoji3][emoji3] kwahiyo tuseme ni matonya no2Mgogo huyoo...
DuuuNa hapa ndo hoja ya katiba mpya inapopata nguvu, inakuwaje spika wa bunge anaongea kinyonge namna hiyo, anazidiwa hata na kiongozi wa TUCTA......
Executive ilivyosetiwa hapa Tzn hakuna wa kunyanyua mdomo,unakuwa kiongozi wa mhimili kwa cheo but sio kwa maamuzi.Ule mhimili ulijaribiwa kama umeshajikita chini au la na majibu yakapatikana.
Nimekosa mm, nimekosa sana.
Sukuma gang tayari complete eliminated.
Kianduje
In criminal law unlike in Politics, confession is used as an evidence to convict you upon all accusation raised unto you, but in Politics confession is a measure of strength and maturity. As it was said by political gurus, if you lack HONEST, intelligence and Energy looses their meaningRekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Mtu kama Ndugai tukimwambia alete hesabu za pesa za matibabu India anazo? Si mwizi tuu huyo kadanganya serikali.Tuliwaambia BAVICHA wakashindwa kuelewa, Mwenyekiti wa CCM ndio injini kuu ya nchi