CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Vichwa maji.Tuliwaambia BAVICHA wakashindwa kuelewa, Mwenyekiti wa CCM ndio injini kuu ya nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vichwa maji.Tuliwaambia BAVICHA wakashindwa kuelewa, Mwenyekiti wa CCM ndio injini kuu ya nchi
Naachia Ngazi by Edward Lowassa 2008!
Lkn kaka kila siku unasema humu ndani, kuwa hakuna wa KUMTINGISHA RAIS WA NCHI HII.Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Ubunge wenyewe ameupewa na mwendazake kama unavyompa mwanao kitumbua au andazi.Yani yeye akizani Rais anaweza kuchezewa kama Pasco?
Uspika wa Ndugai unashikiliwa na kadi ya ccm, wakichukuwa kadi yao uspika na ubunge kwishney.
Rais ni jambo lingine kabisa, nadhani leo Humphrey Polepole atakuwa amepata clear msg kwamba wanaokwambia tupo nyuma yako yakikukuta ukigeuka nyuma hutowaona.
Nakubaliana na wewe 100 %.Kwa Press hii ya Ndugai tukubaliane kwa pamoja Sukuma gang ndio imezikwa rasmi leo.
Asiyekubali hili hatokuwa na tofauti na kenge mpaka damu zitoke masikioni ndio ataelewa.
R.I.P Sukuma gang mwendo mmeumaliza.
Analinda Tumbua Lake, Wahuni Wasitie MchangaTumbo sheikh.😄😄
Mbona anatia huruma kama vile anaomba kusaidiwa kitu flani [emoji3][emoji3]Sawa tunasubiriView attachment 2066809
Nimesikia Analima Mibuyu Huko Kongwa Ana Heka 10000Au Ametishiwa kunyimwa hela za matibabu ?🐒
Ifuatiwe na kujiuzulu ndio protocali zilivyo,Baada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.
NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3
Spika Job Ndugai amesema kauli yake aliyoitoa Desemba 26, 2021 alipoalikwa kwenye tukio la makumbusho ya wagogo kuwa imechukuliwa vibaya na kuleta mkanganyiko
Amesema alikuwa anazungumza kuhusu sababu iliyoifanya bunge kukubali na kuipitisha tozo na sio kuwa alikuwa akizungumzia taasisi nyingine yoyote
Ndugai amesema video iliyosambaa ilikatwa bila kuleta ujumbe kamili aliokuwa amekusudia. Ameumia kuonekana anapinga mkopo wa serikali
NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE
Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho yake ili wanaotembelea ofisi hizo wajue historia ya bunge kwa namna ilivyokuwa
Jambo hilo amesema ni muhimu hata kwa taasisi nyingine kuwa na makumbusho yake ili watu waweze kujua kuhusu historia ya taasisi husika
Amesema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari ofisi za Bunge Dodoma
NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE
Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
Amesema yeye ni CCM ambao lengo lao ni moja hawawezi kutofautiana. Kuna watu wanaojaribu kuwafarakanisha lakini hawatafanikiwa
Ndugai amesema Rais anafanya vizuri lakini peke yake hawezi kwa hiyo ni jukumu la watu wote kumsaidia
Bil 29 mtu anatibiwa ni nini Mkuu dhambi au..?Arudishe bilioni 29 za matibabu kwanza.
Huku Byengeregere hatuna hata zahanati.
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Ok nimeelewa. Tatizo ni ClipBaada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.
NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3
Spika Job Ndugai amesema kauli yake aliyoitoa Desemba 26, 2021 alipoalikwa kwenye tukio la makumbusho ya wagogo kuwa imechukuliwa vibaya na kuleta mkanganyiko
Amesema alikuwa anazungumza kuhusu sababu iliyoifanya bunge kukubali na kuipitisha tozo na sio kuwa alikuwa akizungumzia taasisi nyingine yoyote
Ndugai amesema video iliyosambaa ilikatwa bila kuleta ujumbe kamili aliokuwa amekusudia. Ameumia kuonekana anapinga mkopo wa serikali
NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE
Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho yake ili wanaotembelea ofisi hizo wajue historia ya bunge kwa namna ilivyokuwa
Jambo hilo amesema ni muhimu hata kwa taasisi nyingine kuwa na makumbusho yake ili watu waweze kujua kuhusu historia ya taasisi husika
Amesema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari ofisi za Bunge Dodoma
NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE
Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
Amesema yeye ni CCM ambao lengo lao ni moja hawawezi kutofautiana. Kuna watu wanaojaribu kuwafarakanisha lakini hawatafanikiwa
Ndugai amesema Rais anafanya vizuri lakini peke yake hawezi kwa hiyo ni jukumu la watu wote kumsaidia
Kuna Wapumbavu wa Sukuma gang humu niliwaambia, kama mlikuwa hamumtaki mama mlikuwa na mambo mawili tu ya kufanya.Kawabwaga mchana kweupeeee
Rais ana power zile alizokuwanazo Governor enzi za Ukoloni. Enzi zile ilikuwa ni kulinda maslahi ya Ukoloni.Kuna mtu jana alisema RAIS WA TANZANIA ANAWEZA KUAMUA MKEO ACHEPUKE NA AKACHEPUKA.
Aitwe ajielezeAnajiuzulu au anaita watu kwenye kikao cha kamati ya maadili ya bunge?
Spika Ndugai amesema kwa mara ya kwanza tangu nchi ipate uhuru watoto wa wilaya ya Kongwa wanakwenda kusoma katika madarasa ya kisasa kabisa yanayofanana na chumba cha mkutano cha ofisi ya Spika.
Ndugai amesema madarasa yao yana madirisha ya aluminium, chini yana tiles na mabati ni yale ya kijani siyo yale mabati sufuria waliyoezekea shule nyingine.
Spika Ndugai amemshukuru sana Rais Samia kwa maono makubwa aliyonayo.
Source: Ayo tv