Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Tuliwaambia BAVICHA wakashindwa kuelewa, Mwenyekiti wa CCM ndio injini kuu ya nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaTangu lini mgogo akaacha kuwa mgogo
Mbona TRA ipo zanzibar pia?Huyu mzee haeleweki hata anachoongea, go straight to the point, huwezi kukopa kujenga madarasa na vyoo na ukapiga pasu pesa nyingi zikaenda kuijenga zanzibar ukilinganisha eneo lake na idadi ya watu.........kwa nini viongozi wa nchi hii ni wanafiki sana!?
Ule mhimili ulijaribiwa kama umeshajikita chini au la na majibu yakapatikana.
Nimekosa mm, nimekosa sana.
Rekebisha kidogo heading niAkimaliza mazungumzo yake na waandishi wa habari leo.
Nilisema kuwa ataikana Ile clipBaada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.
NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3
Spika Job Ndugai amesema kauli yake aliyoitoa Desemba 26, 2021 alipoalikwa kwenye tukio la makumbusho ya wagogo kuwa imechukuliwa vibaya na kuleta mkanganyiko
Amesema alikuwa anazungumza kuhusu sababu iliyoifanya bunge kukubali na kuipitisha tozo na sio kuwa alikuwa akizungumzia taasisi nyingine yoyote
Ndugai amesema video iliyosambaa ilikatwa bila kuleta ujumbe kamili aliokuwa amekusudia. Ameumia kuonekana anapinga mkopo wa serikali
NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE
Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho yake ili wanaotembelea ofisi hizo wajue historia ya bunge kwa namna ilivyokuwa
Jambo hilo amesema ni muhimu hata kwa taasisi nyingine kuwa na makumbusho yake ili watu waweze kujua kuhusu historia ya taasisi husika
Amesema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari ofisi za Bunge Dodoma
NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE
Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
Amesema yeye ni CCM ambao lengo lao ni moja hawawezi kutofautiana. Kuna watu wanaojaribu kuwafarakanisha lakini hawatafanikiwa
Ndugai amesema Rais anafanya vizuri lakini peke yake hawezi kwa hiyo ni jukumu la watu wote kumsaidia
Unaongea mambo yasiyokuwepo TZ kwa sasa.Jidanganye, labda hukuona kilichotokea zimbabwe.......ukikua utaelewa mambo haya.
MKUU P,Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Ameshalipa naye karma kama alivokuita kipindi kileRekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Hakuna udini wala ukabila nchini ila Kuna katiba iliyompa raisi nguvu kubwa. Bishana nae utaelewa.lipo japo moja serious katika nchi kuna mahala litatulete shida maana tunaishi kinafiki..
TANZANIA KUNA UDINI NA UKABILA MBAYA SANA...
Alichofanya Ndugai ni kumuongezea nguvu Maza.... Wakati huo huo yeye kajimaliza kabisa. Asifikiri watamsamehe kwa hilo pamoja na kujifanya anajibebesha msalaba wake mwenyewe kwa niaba ya wote.Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P