Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Aisee kajamaa ni kanafiki sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kwa hiari yake, alifuatwa na wazito na kushauriwa kutengua kauli yake au kuomba msamaha.Hahah, jamaa kaona isiwe tabu...karudisha gozi la ng'ombe kwa kipa
PepekaleAnajikoo....anajikosha.....anajikooo...huu wimbo mapiano huwa naupenda sana aliimba nani vile?
Kumbe tayari ameahaikana[emoji3],basi ajiandae kwa makubwa zaidiaikane mara ngapi
Spika amuomba radhi Rais "Nitumie fursa hii kupitia kwenu kumuomba radhi Rais" hayo ni maneno ya Spika akiomba radhi
amesema muache kutengeneza viclip na kupotosha.Ameomba radhi
Huyu Mzee na hisi kichwa chake Akiko sawa alishawahi kusema yesu alikuwa na mkee baada ya kelele akawaita waandishi na kusema akumaanisha hivyoNdungai ni mnafiki kama CCM wenzake wengi
Yaa, hili ndo la msingi...Hapa ni kumsubiri Tundu Lissu arudi ili atusemehe maana Hawa wengine wamechagua upande wa ajira, heshima binafsi na vyeo.