Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hana jeuri ya kujiuzulu. Anataka kutakasa jina lake. Keshaona dalili za kuwa jobless zinakuwa kubwa. Leo itakuwa ni mwendo wa mapambio kwa raisi, kuwa ni raisi bora na anakopa hela vizuri sana.Anajiuzulu au anaita watu kwenye kikao cha kamati ya maadili ya bunge?
aikane mara ngapiNadhani amepata picha jinsi gani watu wanamchukulia,Ili aheshimike ni bora akakaza na msimamo wake,akijidai kuikana kauli yake wakati kashaoga matusi kutoka kila kona haitamsaidia kitu,atakuwa amedhalilika tu
Sijamuelewa comment yako Mabeho anatoka wapi kwenye matamshi haya ya kisiasa, nafikiri hujui nafasi ya Mabeho na kazi zake. Mabeho ashuhulike na majeshi yake haya hayamhusu hata kidogo.
Story za vijiweniIla walipotaka kumpindua Samia .
Anatetea alihusikaje?
Unajua madhara ya rais na spika wa bunge kulingana nini kitatokea?