Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Siasa za nchi hii very simple kuliko watu wanavyodhani ila kama hujui mchezo unavyochezwa inakupa taabu sana!.
 
Hakuna bingwa wa njaa; yani hata PolePole kamshindwa kukomaa
 
Anaomba msamaha kwa kukosa sana wakati anasema ni clip ya kutengenezewa! Zile siasa zake chafu zimekutana na uchafu ule ule, karma is a bitch.
 
Back
Top Bottom