General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Sisi tunachochea kuni....
Tupo na Ndugai....
Mama tuachie Nchi
Tupo na Ndugai....
Mama tuachie Nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.
Ameshauriwa na maaskofu asiongee Lakini kakomaza kichwa.. Hakubali kushindwaAnajiuzulu au anaita watu kwenye kikao cha kamati ya maadili ya bunge?
hahahahahaWalininukuu vibaya kwasababu mimi mgogo wa kongwa😀🤣😀
....dah!...viongozi wa hii nchi wanajipendelea mno.Kinachonikera mimi ni Magufuli kutumia pesa za umma kumnunulia mashine ya dayalisis mtu mmoja tena ipo nyumbani kwake, hii ndio siri ya Ndugai kuwa house boy wa Meko.
Ameshauriwa na maaskofu asiongee Lakini kakomaza kichwa.. Hakubali kushindwa
Wacha inyeshe tuone panapovujaAmeshauriwa na maaskofu asiongee Lakini kakomaza kichwa.. Hakubali kushindwa
Cha kushangaza utarudi hapa kuongea kutokana na alichosemaYaani unaweza andika hiyo habari hata bila kuhudhuria huo mkutano au kumsikiliza ... inajulikana atakachosema, kwa Mwandishi kuhudhuria ni kupoteza tu muda ... pia atakazia kupiga watu mkwara kuheshimu bunge
Sijamuelewa comment yako Mabeho anatoka wapi kwenye matamshi haya ya kisiasa, nafikiri hujui nafasi ya Mabeho na kazi zake. Mabeho ashuhulike na majeshi yake haya hayamhusu hata kidogo.Acha watwangane.
Naomba MABEYO asiingilie awaache mpaka mmoja aombe Pooh mwenyewe
Hao maaskofu kwani wanajua anaenda sema nini!!!?Ameshauriwa na maaskofu asiongee Lakini kakomaza kichwa.. Hakubali kushindwa
Kama viongozi waandamizi wa nchi wanavutana, hao jamaa huwaga hawachezi mbali........wanakuwa wanawa zoom kwa mbali tu.Sijamuelewa comment yako Mabeho anatoka wapi kwenye matamshi haya ya kisiasa, nafikiri hujui nafasi ya Mabeho na kazi zake. Mabeho ashuhulike na majeshi yake haya hayamhusu hata kidogo.