Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi yake kulinda mipaka ya nchi Maami, sio issue za kisiasa. Hana kazi kwenye hili wala kulitolea tamko. Kila mtu atamshangaa labda maami ungependa aingilie sio uwanja wake pole.Kama viongozi waandamizi wa nchi wanavutana, hao jamaa huwaga hawachezi mbali........wanakuwa wanawa zoom kwa mbali tu.
Ndo hivyo sasa, basi endelezeni migogoro ndo mtajua hamjui......Kazi yake kulinda mipaka ya nchi Maami, sio issue za kisiasa. Hana kazi kwenye hili wala kulitolea tamko. Kila mtu atamshangaa labda maami ungependa aingilie sio uwanja wake pole.
Heri angejiuluzu.Sisi tunachochea kuni....
Tupo na Ndugai....
Mama tuachie Nchi
Ganja sana ndio maana huongea vitu visivyokuwepo, eti kanunua treni.Ndugai hamuwezi Gwajima japo wote siwakubali, yule Gwajiboy kapinda sanaa alafu anajita mchungaji
[emoji3] [emoji3][emoji3] [emoji3] [emoji3] Majonzi ya nini [emoji16][emoji16][emoji16][emoji3526]Sawa tunasubiriView attachment 2066809
Mkuu wa majeshi anatumwa tu maami pole hata kikatiba hayupo kwenye top leadership kama Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge yeye hayupo ni mtendaji tu maami Pole.Ndo hivyo sasa, basi endelezeni migogoro ndo mtajua hamjui......
Nina hamu sana ya kuwafahamu hao waumini wa kanisa lake.Ganja sana ndio maana huongea vitu visivyokuwepo, eti kanunua treni.View attachment 2066874
Job ana cheti chake special, tuchukue tahadhariView attachment 2066877
Jidanganye, labda hukuona kilichotokea zimbabwe.......ukikua utaelewa mambo haya.Mkuu wa majeshi anatumwa tu maami pole hata kikatiba hayupo kwenye top leadership kama Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge yeye hayupo ni mtendaji tu maami Pole.
Tuna tofauti katika uelewa sina tena muda wa kuelezea nimemaliza. Amini unayoyajua nami nibaki na yangu.Jidanganye, labda hukuona kilichotokea zimbabwe.......ukikua utaelewa mambo haya.
Rais wa Tanzania mwaka 2025 ni mwanamke Kwa kudra za mwenyezi !
Ndo hivyo sasa, usibweteke sana.......moja jumulisha moja inaweza kuwa kumi na moja badala ya mbili.Tuna tofauti katika uelewa sina tena muda wa kuelezea nimemaliza. Amini unayoyajua nami nibaki na yangu.