Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

ndugai kawachezea mind game nanyie mkajaa, yule ni sukuma gang pure na wana mikakati yao siku za usoni, endeleeni kuwatch movie hii mpaka ze end ndo mtajua hamjui.
 
Kwa unavyoelewa wewe. Nini makosa ya Ndugai katika kusema habari ya madeni ya taifa na kupiga makofi watu wakishangilia, tena wajinga wasiojua kwamba mikopo isiyo tija ni mizigo hatarishi? Jadili
 
Samahani haitoshiiii
 
Watu makini wamebuni mulemule Mh. Spika alichokisema. Kuomba radhi na blabla zingine ooh wa-medoctor hotuba yangu.
 
Wakuu
Hii press ya Job leo unaichambuaje?

Je, Ndugai & The Gang walikuwa wanaupima upepo?

Je, wananchi ama wanaharakati wangeonesha kumuunga mkono angefanya hii submission press ya leo?

Thinkers wa JF, mnaiangaliaje hii move ya Ndugai kuomba radhi hadharani leo akiwa kama mkuu wa Mhimili huru wa Bunge? Jambo hili limekaaje
Kisiasa
Kiusalama
Kidemokrasia

Pascal Mayalla
Mshana Jr
figganigga
Mzito Kabwela
Mchambuzi87
 
Ni kati ya fasihi bora kuiona kwenye ulingo wa siasa kwa miaka ya karibuni.
Hii ni namba moja. Ikifuatiwa na ile ya Rutengwe, PhD.
Na kwa bahati mbaya Watanzania wengi hawajui fasihi.
Ngoja tuone upande wa pili wataitikiaje.

Hongera sana kwa Job Yustino Ndugai na kundi lako kwa kuweza kuja na somo bora la fasuhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…