Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Yani yeye akizani Rais anaweza kuchezewa kama Pasco?

Uspika wa Ndugai unashikiliwa na kadi ya ccm, wakichukuwa kadi yao uspika na ubunge kwishney.

Rais ni jambo lingine kabisa, nadhani leo Humphrey Polepole atakuwa amepata clear msg kwamba wanaokwambia tupo nyuma yako yakikukuta ukigeuka nyuma hutowaona.
 
kanuni ile uliyonyamazisha wengine ndio hiyo hiyo inatumika
 
Yaani unaweza andika hiyo habari hata bila kuhudhuria huo mkutano au kumsikiliza ... inajulikana atakachosema, kwa Mwandishi kuhudhuria ni kupoteza tu muda ... pia atakazia kupiga watu mkwara kuheshimu bunge
Kuhudhuria sio kupoteza muda Kaka.
Kunakuwaga na bites kabla ya mkutano halafu lunch ya nguvu baadae kwa watakaokuwa wavumilivu wa kusikiliza na kuandika ujinga Kuna bahasha ya nauli.
 
Polepole huyu huyu ?
 
Wewe hujui unachokiandika, baada ya Mungu ni Rais.
 
Wagongo na njaa,nilijua tu utaomba msamaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…