Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Yani yeye akizani Rais anaweza kuchezewa kama Pasco?Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
kanuni ile uliyonyamazisha wengine ndio hiyo hiyo inatumikaBaada ya matamko kutoka viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi na serikali dhidi ya kauli ya Spika Job Ndugai kuhusu mikopo, leo Jumatatu saa 5:00 asubuhi, Ndugai anazungumza na waandishi wa habari, jijini Dodoma.
NDUGAI: NIMEUMIA KUOENEKANA NAPINGA MKOPO WA SERIKALI WA TSH. TRILIONI 1.3
Spika Job Ndugai amesema kauli yake aliyoitoa Desemba 26, 2021 alipoalikwa kwenye tukio la makumbusho ya wagogo kuwa imechukuliwa vibaya na kuleta mkanganyiko
Amesema alikuwa anazungumza kuhusu sababu iliyoifanya bunge kukubali na kuipitisha tozo na sio kuwa alikuwa akizungumzia taasisi nyingine yoyote
Ndugai amesema video iliyosambaa ilikatwa bila kuleta ujumbe kamili aliokuwa amekusudia. Ameumia kuonekana anapinga mkopo wa serikali
NDUGAI: TUTENGENEZE MAKUMBUSHO YA BUNGE
Spika wa Bunge Job Ndugai, amesema ni muhimu kwa Bunge kuwa na makumbusho yake ili wanaotembelea ofisi hizo wajue historia ya bunge kwa namna ilivyokuwa
Jambo hilo amesema ni muhimu hata kwa taasisi nyingine kuwa na makumbusho yake ili watu waweze kujua kuhusu historia ya taasisi husika
Amesema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari ofisi za Bunge Dodoma
NDUGAI: NAMUOMBA RADHI RAIS NA WANANCHI WOTE
Spika wa Bunge Job Ndugai amemuomba radhi Rais Samia Suluhu na wananchi wote kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yake
Amesema yeye ni CCM ambao lengo lao ni moja hawawezi kutofautiana. Kuna watu wanaojaribu kuwafarakanisha lakini hawatafanikiwa
Ndugai amesema Rais anafanya vizuri lakini peke yake hawezi kwa hiyo ni jukumu la watu wote kumsaidia
Kuhudhuria sio kupoteza muda Kaka.Yaani unaweza andika hiyo habari hata bila kuhudhuria huo mkutano au kumsikiliza ... inajulikana atakachosema, kwa Mwandishi kuhudhuria ni kupoteza tu muda ... pia atakazia kupiga watu mkwara kuheshimu bunge
Polepole huyu huyu ?Yani yeye akizani Rais anaweza kuchezewa kama Pasco?
Uspika wa Ndugai unashikiliwa na kadi ya ccm, wakichukuwa kadi yao uspika na ubunge kwishney.
Rais ni jambo lingine kabisa, nadhani leo Humphrey Polepole atakuwa amepata clear msg kwamba wanaokwambia tupo nyuma yako yakikukuta ukigeuka nyuma hutowaona.
Wewe hujui unachokiandika, baada ya Mungu ni Rais.Alichofanya Ndugai ni kumuongezea nguvu Maza.... Wakati huo huo yeye kajimaliza kabisa. Asifikiri watamsamehe kwa hilo pamoja na kujifanya anajibebesha msalaba wake mwenyewe kwa niaba ya wote.
Imagine pamoja na kutukanwa kote kule kashindwa kumuita mtu yeyote kwenye ile kamati yake ya Maadili. Kwa udhaifu aliouonyesha sasa asubiri watakanyompanda mpaka kichwani.
Mbaya zaidi kutubu hadharani kwa design ile, Spika wa Bunge.... Only in Tanzania.
😀😀😀Ndio maana namuomba hangaya mwenye nguvu
Mkuu P, heri ya mwaka mpya. Safari hii akikuita tena usiende badala yake tunamshitaki kwa mamaRekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Mnafiki huyo usimsamehe kabisa na akawaombe samahani pia na wale alio kuwa anawaelezaPolepole huyu huyu ?
Nimcheka kwa kweli.Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Speaker has spoken in a penitent tone!Rekebisha kidogo heading ni
"Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana "
Spika kawa mdogo kama piriton!
P
Sukuma gang tayari complete eliminated.Polepole huyu huyu ?
Mkuu P, heri ya mwaka mpya. Safari hii akikuita tena usiende badala yake tunamshitaki kwa mama
Sukuma gang chali, hamuamini macho na masikio yenu.Bado tuna safari ndefu sana.
Sukuma gang chali, hamuamini macho na masikio yenu.
Labda ungeuliza ARV gani?Hivi Ndugai alichoma Johnson Johnson ama Astra Zeneca ? Maana sielewi