Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Ubunge wenyewe ameupewa na mwendazake kama unavyompa mwanao kitumbua au andazi.
 
Kwa Press hii ya Ndugai tukubaliane kwa pamoja Sukuma gang ndio imezikwa rasmi leo.

Asiyekubali hili hatokuwa na tofauti na kenge mpaka damu zitoke masikioni ndio ataelewa.

R.I.P Sukuma gang mwendo mmeumaliza.
Nakubaliana na wewe 100 %.

Ile statement ya "Nimekosa mimi, nimekosa sana...." ndiyo imeconclude kila kitu.
 
Ifuatiwe na kujiuzulu ndio protocali zilivyo,
Akiendelea kushika nafasi ya uspika maana yake bado anaendelea kumbeza rais na makundi yake
 
Dah mgogo kawa mdogo kama Piriton

Kwani Sukuma gang wanasemaje?

Mama kaupiga mwingi kinoma
 
Ok nimeelewa. Tatizo ni Clip
 
Kawabwaga mchana kweupeeee
Kuna Wapumbavu wa Sukuma gang humu niliwaambia, kama mlikuwa hamumtaki mama mlikuwa na mambo mawili tu ya kufanya.

1. Mngezuia asiapishwe

2. Kama ameapishwa kuwa Rais mngekiteka Chama kwamba mwenyekiti lazima ashindanishwe kwenye uchaguzi, ungefanyika uchaguzi na Sukuma gang wangeweka mwenyekiti wao ambao Rais lazima acompromise nao.

Yote mawili wameshindwa Samia ndio Rais, ndio Amiri jeshi mkuu na ndio mwenyekiti wa chama.

Ni kichaa peke yake ndio unaweza kupingana na mtu mwenye status hii.

Mama ajiombee afya tu, Mungu akimpa kibali yupo ikulu mpaka 2030 loud n clear.
 
Kuna mtu jana alisema RAIS WA TANZANIA ANAWEZA KUAMUA MKEO ACHEPUKE NA AKACHEPUKA.
Rais ana power zile alizokuwanazo Governor enzi za Ukoloni. Enzi zile ilikuwa ni kulinda maslahi ya Ukoloni.

Nyerere alipokua Rais hakutaka mabadiliko ili iwe rahisi kwake kutawala, kumbuka kulikua na mgawanyiko wa makabila na kidini.

Sasa hivi absolute power imebaki kulinda maslahi ya CCM.
 
Kuna mijamaa ilitaka kujenga mnara mrefu ufike kwa Mungu,Mungu akaaamua kuwagonganisha lugha wakaanza kuchanganyana mmoja anaagiza zege mwenzake analeta mbao na mnara haukujengwa hadithi hi inatufundisha Nini ?????
 
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai bwashee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…