Spika Ndugai: Serikali wapeni watu nafasi ya kufanya mambo yao, msiwe front sana

Spika Ndugai: Serikali wapeni watu nafasi ya kufanya mambo yao, msiwe front sana

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214

======

Speaker wa bunge,Job Ndugai

" Government intervention inatakiwa ndio iwepo lakini minimal, yaani katika nchi za wenzetu nchi zilizoendelea kampeni moja wapo katika uchaguzi mkuu ni kitu kinaitwa less Government yaani less Government katika maisha ya watu sio ukigeuka serikali, ukigeuka serikali, ukigeuka serikali yaani serikali aaaa...!! Serikali iwepo kidogo kidogo watu wajimwage katika nchi yao wasikie wana nafasi.

Ukilima ufuta serikali, ukifanya hivi serikali, sasa watu unafanyejeee! Ukilima korosho, korosho ndio kabisaaa serikali hebu rudini nyuma kidogo wapeni watu nafasi nyinyi ee...! Nyinyi ni facilitators wasimamizi pale mtu ambapo anadhulumiwa eee.. nk. Lakini sio front saaana!!".
 
2769132_IMG_20210510_122414.jpg
 
Back
Top Bottom