Spika Ndugai: Serikali wapeni watu nafasi ya kufanya mambo yao, msiwe front sana

Spika Ndugai: Serikali wapeni watu nafasi ya kufanya mambo yao, msiwe front sana

Tanzania hii nani sio mnafiki kila mtu analinda maslahi yake kwanza ndio maana nchi pekee utakuta mtu ana line 4 za simu kampuni tofauti strong signal vifurushi rafiki ndio hiyo hiyo hatuna kitu loyalty kwetu maslahi tu.
Eeh sasa utaacha kulinda ugali wako bwana?
 
Siku kuna proffesional
Eeh sasa utaacha kulinda ugali wako bwana?
Siachi hata mimi ningekuwa Ndungai ningefanya hivyo hivyo watu wanasema tu nje ya system lakini Tanzania hatuna malaika ni vile fursa hatujapata tuko bench si unajuwa ile ukiwa bench wenzako wanacheza akikosea unasema ahhhh kakosaje pale ukiingia na wewe unafanya yale yale ndio maisha ya Bongo usisikilize sana ya nje.
 
Siku kuna proffesional

Siachi hata mimi ningekuwa Ndungai ningefanya hivyo hivyo watu wanasema tu nje ya system lakini Tanzania hatuna malaika ni vile fursa hatujapata tuko bench si unajuwa ile ukiwa bench wenzako wanacheza akikosea unasema ahhhh kakosaje pale ukiingia na wewe unafanya yale yale ndio maisha ya Bongo usisikilize sana ya nje.
Bongo kila post ni ajira
 
Huyu mzee nikiskia jina lake limetajwa popote huwa roho inanichafuka. Katika kiongozi ambae anaongoza kunikusanyia dhambi za kutukana ni huyu, kwasababu ni muongo na mnafiki wa kiwango cha 4G.
Msimlaumu Sana, kosa lipo kwa aliyemweka, alijua udhaifu wa hili kabila akataka ulitumia.
Ukitongoza binti au mmama, ukimuuliza kabila akajibu ni mgogo, moyo lazima ushituke paa
 
Kwenye hili alichosema ni kweli 100% true sasa kwanini hakusema haya pia wakati wa nyuma hilo ni wazi sote tunajuwa JPM hakuruhusu mtu kuongea mawazo yake kwa uhuru na sio huyu Ndungai viongozi wote ni kama sasa wanaongea akili zao sio zile za kushikiwa. JPM aliwatisha watu tuacheni utani. Lakini wewe ukiona mjomba labda ulidhani anahitaji kwenda mirembe wakati ule ni huzuni lakini ukiona mjomba anapona kabla hajaenda hospital unafurahi kwa hiyo tufurahi wagonjwa wanapona kwa haraka na sio yeye wengi tu. Ukifanya makosa kipindi cha kwanza una sahihisha makosa kipindi cha pili sifa anapewa kocha.
Ilikuwa kila kiongozi asimalize kile anachotaka kukisema bila kuyataja mara tatu majina yote 4 ya Mheshimiwa kwenye hotuba yake.
 
Back
Top Bottom