Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
hii ni bombadier mapanga shaa!!!Alikwina..!? Huu ni unafiki wa kiwango cha SGR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ni bombadier mapanga shaa!!!Alikwina..!? Huu ni unafiki wa kiwango cha SGR
Amekuwa kituko siku hizi!!Daktari wake apigiwe simu....
Huyu mzee nikiskia jina lake limetajwa popote huwa roho inanichafuka. Katika kiongozi ambae anaongoza kunikusanyia dhambi za kutukana ni huyu, kwasababu ni muongo na mnafiki wa kiwango cha 4G.
Eeh sasa utaacha kulinda ugali wako bwana?Tanzania hii nani sio mnafiki kila mtu analinda maslahi yake kwanza ndio maana nchi pekee utakuta mtu ana line 4 za simu kampuni tofauti strong signal vifurushi rafiki ndio hiyo hiyo hatuna kitu loyalty kwetu maslahi tu.
Alafu sijui kwanini halipati hata ajaliThe most hopeless speaker.
Lissu, Mbowe, Chadema, Msigwa hayo ndio majina anayoota muda wote.
Haya mambo yamewezekana tu baada ya tukio la March 17!
Siachi hata mimi ningekuwa Ndungai ningefanya hivyo hivyo watu wanasema tu nje ya system lakini Tanzania hatuna malaika ni vile fursa hatujapata tuko bench si unajuwa ile ukiwa bench wenzako wanacheza akikosea unasema ahhhh kakosaje pale ukiingia na wewe unafanya yale yale ndio maisha ya Bongo usisikilize sana ya nje.Eeh sasa utaacha kulinda ugali wako bwana?
🤣🤣🤣Daktari wake apigiwe simu....
na bado atazitema alizohongwa na shetani Jiwe
Huenda Israel anaandaa mazingira. Hataki ukaidi kama wa jiwe mpaka anakufa bado alikuwa anakufuruAnajua ndio dakika zake za mwisho
Nalog off
Kwamba mgonjwa anaendelea vizuri dawa imefanya kazi au kazidiwaDaktari wake apigiwe simu....
Kumbuka March 17 kama siku ya uhuru wa Mtanzania,second liberation Tanzania.Haya mambo yamewezekana tu baada ya tukio la March 17!
MAMA SAMIA asimwamini huyu "chamelion" , ana maanisha asicho ongea na kuongea asicho maanisha.
Bongo kila post ni ajiraSiku kuna proffesional
Siachi hata mimi ningekuwa Ndungai ningefanya hivyo hivyo watu wanasema tu nje ya system lakini Tanzania hatuna malaika ni vile fursa hatujapata tuko bench si unajuwa ile ukiwa bench wenzako wanacheza akikosea unasema ahhhh kakosaje pale ukiingia na wewe unafanya yale yale ndio maisha ya Bongo usisikilize sana ya nje.
Msimlaumu Sana, kosa lipo kwa aliyemweka, alijua udhaifu wa hili kabila akataka ulitumia.Huyu mzee nikiskia jina lake limetajwa popote huwa roho inanichafuka. Katika kiongozi ambae anaongoza kunikusanyia dhambi za kutukana ni huyu, kwasababu ni muongo na mnafiki wa kiwango cha 4G.
Ilikuwa kila kiongozi asimalize kile anachotaka kukisema bila kuyataja mara tatu majina yote 4 ya Mheshimiwa kwenye hotuba yake.Kwenye hili alichosema ni kweli 100% true sasa kwanini hakusema haya pia wakati wa nyuma hilo ni wazi sote tunajuwa JPM hakuruhusu mtu kuongea mawazo yake kwa uhuru na sio huyu Ndungai viongozi wote ni kama sasa wanaongea akili zao sio zile za kushikiwa. JPM aliwatisha watu tuacheni utani. Lakini wewe ukiona mjomba labda ulidhani anahitaji kwenda mirembe wakati ule ni huzuni lakini ukiona mjomba anapona kabla hajaenda hospital unafurahi kwa hiyo tufurahi wagonjwa wanapona kwa haraka na sio yeye wengi tu. Ukifanya makosa kipindi cha kwanza una sahihisha makosa kipindi cha pili sifa anapewa kocha.
Hah hah hah! Naona huyu mzee wa mjengo naye kafurahi Mwendazake hayupo; maana kapata uhuru wake uliokuwa umeminywa na jiwe. Hah hah hah!siasa mkuu,
siasa ni mchezo mchafu.