cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kweli huyu yupo ktk dkk za mwisho wallah. Khaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahhahaUsingizi ulikuwa mzitoo
[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86] kabisa,Malaria imeshapanda kichwani.Daktari wake apigiwe simu....
Tafadhali futa kauli yako! Nabii Tito alikuwa anakula beki 3 ina maana kama hawana tofauti na yeye anakula?Ndungai hana tofauti na Nabii Tito
Alikuwa wapi siku zote? Hata asemeje hakuna awezaye kumwelewa! Matendo yake yanapiga kelele zaidi kulikk manenk yake!!Anachoongea Ndugai ni kwenye. Kuna kitu kinaitwa citizenship freedom. Serikali ni mwezeshaji tu na siyo tightly controller wa watu. yaani unaitisha uchaguzi wa balozi pale kijijini napo serikali na mabunduki mgongoni, uchaguzi wa kitongoji tu mapolisi yamejaa, hapana.
Lazima kuwe na semi-autonomous ya raia. hata mzazi hutakiwi kuwa mgongoni pa mtoto wako kila mahali. Mpe muda wa ku-exercise maturity and independence. Hata Mwalimu kuna wakati anatakiwa kumpa nafasi mwanafunzi kufikiri na kutenda kwa kujitegemea na siyo tightly supervision.
Ila najiuliza, kumbe Ndugai anayajua haya mambo ila alikuwa anafanya makusudi?
Alikuwa matekaAnachoongea Ndugai ni kwenye. Kuna kitu kinaitwa citizenship freedom. Serikali ni mwezeshaji tu na siyo tightly controller wa watu. yaani unaitisha uchaguzi wa balozi pale kijijini napo serikali na mabunduki mgongoni, uchaguzi wa kitongoji tu mapolisi yamejaa, hapana.
Lazima kuwe na semi-autonomous ya raia. hata mzazi hutakiwi kuwa mgongoni pa mtoto wako kila mahali. Mpe muda wa ku-exercise maturity and independence. Hata Mwalimu kuna wakati anatakiwa kumpa nafasi mwanafunzi kufikiri na kutenda kwa kujitegemea na siyo tightly supervision.
Ila najiuliza, kumbe Ndugai anayajua haya mambo ila alikuwa anafanya makusudi?
Kazi kubwa ya spika ni kuwalinda na kuwatetea watunga sheria wake kwa nguvu zote dhidi ya mihili mingine bila kujali anatoka chama gani, jumbo gani wala jinsia gani. Kama MTU anakuambia acha kumtibu mbunge wako mgonjwa na wewe ukakubali ujue MTU huyo atakudharau kwa kutokuijua Kazi yakoWapendwa,
Nduguyai alichotakiwa kufanya ni kutubu kwanza kwa aliyoyafanya kwa maneno na matendo yake yote kwa binadamu wengine, ili Mungu wa haki amsamehe dhambi zake na ampokee ili aweze kuongozwa na kufanyikaa kiumbe kipya.
Lakini mpaka sasa haonekani kujutia chochote na nimejikuta ninazidi kuamini kuwa anaendeleza ushetani wake wa unafiki/usanii.
Kwangu; He is just a 'survivist'