Spika Ndugai: Serikali wapeni watu nafasi ya kufanya mambo yao, msiwe front sana

Spika Ndugai: Serikali wapeni watu nafasi ya kufanya mambo yao, msiwe front sana

Sasa hivi ndio nawaelewa sana waliosema Bunge, mahakama na sijui poli nini vile viko mfukoni mwa Sizonje. Wameanza kujitoa mmoja mmoja; kuanzia kwa mpwa kuomba radhi, spika kusema rais alishatiwa vibaya juu ya bandari ya Bagamoyo, Johnthebaptist, n.k wanadhihirisha haya
 
Bola shaka jiwe mzee meko alimbemenda ndugai sasa naona amepona tumpe sapoti maana serikali imezidiii tu hakuna uhuru
 
Siku Aliposema Wabunge Msivae Tai Nyekundu
Ukivaa Tusilaumiane Ndiyo Nilimdharau Mpaka
😥😣😏🙄😶😑😐🙂☺😇🤔
 
Yuko sahihi, serikali inatakiwa kutengeneza mazingira mazuri kwa namna yoyote ili watu waweze kufanya ubunifu kuanzisha biashara na hatimaye kuwa walipa kodi wazuri.
Sasa serikali inatangaza ajira kila Sikh mwisho makusanyo yote TRA yataishia kulipa mishahara.
 
hata shetani kuna wakati anakumbuka mambo mema ya huko mbinuni alikotoka na kuyaongea kwa wenzie si bure
 
Kwenye hili alichosema ni kweli 100% true sasa kwanini hakusema haya pia wakati wa nyuma hilo ni wazi sote tunajuwa JPM hakuruhusu mtu kuongea mawazo yake kwa uhuru na sio huyu Ndungai viongozi wote ni kama sasa wanaongea akili zao sio zile za kushikiwa. JPM aliwatisha watu tuacheni utani. Lakini wewe ukiona mjomba labda ulidhani anahitaji kwenda mirembe wakati ule ni huzuni lakini ukiona mjomba anapona kabla hajaenda hospital unafurahi kwa hiyo tufurahi wagonjwa wanapona kwa haraka na sio yeye wengi tu. Ukifanya makosa kipindi cha kwanza una sahihisha makosa kipindi cha pili sifa anapewa kocha.
Wapendwa,
Nduguyai alichotakiwa kufanya ni kutubu kwanza kwa aliyoyafanya kwa maneno na matendo yake yote kwa binadamu wengine, ili Mungu wa haki amsamehe dhambi zake na ampokee ili aweze kuongozwa na kufanyikaa kiumbe kipya.
Lakini mpaka sasa haonekani kujutia chochote na nimejikuta ninazidi kuamini kuwa anaendeleza ushetani wake wa unafiki/usanii.
Kwangu; He is just a 'survivist'
 
Kwenye hili alichosema ni kweli 100% true sasa kwanini hakusema haya pia wakati wa nyuma hilo ni wazi sote tunajuwa JPM hakuruhusu mtu kuongea mawazo yake kwa uhuru na sio huyu Ndungai viongozi wote ni kama sasa wanaongea akili zao sio zile za kushikiwa. JPM aliwatisha watu tuacheni utani. Lakini wewe ukiona mjomba labda ulidhani anahitaji kwenda mirembe wakati ule ni huzuni lakini ukiona mjomba anapona kabla hajaenda hospital unafurahi kwa hiyo tufurahi wagonjwa wanapona kwa haraka na sio yeye wengi tu. Ukifanya makosa kipindi cha kwanza una sahihisha makosa kipindi cha pili sifa anapewa kocha.
Wapendwa,
Nduguyai alichotakiwa kufanya ni kutubu kwanza kwa aliyoyafanya kwa maneno na matendo yake yote kwa binadamu wengine, ili Mungu wa haki amsamehe dhambi zake na ampokee ili aweze kuongozwa na kufanyikaa kiumbe kipya.
Lakini mpaka sasa haonekani kujutia chochote na nimejikuta ninazidi kuamini kuwa anaendeleza ushetani wake wa unafiki/usanii.
Kwangu; He is just a 'survivist'
 
Yuko sahihi, serikali inatakiwa kutengeneza mazingira mazuri kwa namna yoyote ili watu waweze kufanya ubunifu kuanzisha biashara na hatimaye kuwa walipa kodi wazuri.
Sasa serikali inatangaza ajira kila Sikh mwisho makusanyo yote TRA yataishia kulipa mishahara.
Hiyo ni sawa lakini spika wetu yuko bungeni kwa miaka karibia 20 sasa hajawahi kusema hili hadi akaitwa dhaifu na prof. Assad
 
download.jpeg
 
======

Speaker wa bunge,Job Ndugai

" Government intervention inatakiwa ndio iwepo lakini minimal na eee yaani katika nchi za wenzetu nchi zilizoendelea kampeni moja wapo katika uchaguzi mkuu ni kitu kinaitwa less Governmen yaani less Governmen katika maisha ya watu sio ukigeuka serikali ukigeuka serikali ukigeuka serikali yaani serikali aaaa serikali iwepo kidogo kidogo watu waaa wajimwage katika nchi yao wasikie wana nafasi.

Ukilima ufuta serikali ukifanya hivi serikali sasa watu unafanyejeee ukilima korosho korosho ndio kabisaaa serikali hebu rudini nyuma kidogo wapeni watu nafasi nyinyi ee nyinyi ni facilitators wasimamizi pale mtu ambapo anadhulumiwa ee nk. lakini sio front saaana".
Unyumbu utachukua muda kuondoka yaani 'herding behavior' an occurrence of thoughtful people suspending their individual reasong because of panic or fear (amygdala)
 
Kama serikali inakuja fronti sanaa, si aibutue.....yeye si ndo ana mamlaka ya kuisimamia. Yaani unamwona fowadi anasumbua na wewe ni beki unaanza kulialia, piga kiatu au vunja mguu ijulikane moja....
 
======

Speaker wa bunge,Job Ndugai

" Government intervention inatakiwa ndio iwepo lakini minimal na eee yaani katika nchi za wenzetu nchi zilizoendelea kampeni moja wapo katika uchaguzi mkuu ni kitu kinaitwa less Governmen yaani less Governmen katika maisha ya watu sio ukigeuka serikali ukigeuka serikali ukigeuka serikali yaani serikali aaaa serikali iwepo kidogo kidogo watu waaa wajimwage katika nchi yao wasikie wana nafasi.

Ukilima ufuta serikali ukifanya hivi serikali sasa watu unafanyejeee ukilima korosho korosho ndio kabisaaa serikali hebu rudini nyuma kidogo wapeni watu nafasi nyinyi ee nyinyi ni facilitators wasimamizi pale mtu ambapo anadhulumiwa ee nk. lakini sio front saaana".
Hivi Ndugai hiyo busara anayokuja nayo kila kukicha kaitoa wapi😁😁😁..... Enzi za Mwendazake alikuwa hatii hayo maneno!!
 
Back
Top Bottom