Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani alikwambia kuwa sumu inaonjwa?
Paka akitoka basi panya ufanya shereheAlikuwa mateka
Hiyo inaitwa fungulia mbwaDaktari wake apigiwe simu....
Kwa awamu ya 5 wengi walikuwa mahututi au wahanga wa kupokonywa akili
Bila kushikwa mkono na jiwe leo hii angekuwa anachunga ng'ombe kijijini kwakeAnajua ndio dakika zake za mwisho
Nalog off
Tatizo la viongozi wengi ni wasakatonge hivyo kipau mbele chao ni matumbo yao kwanza.Yeeee at last naye our speaker amepata his voice back!!!maisha Tanzania yanakwenda kasi wakati huu
Alisha kwambia kuwa yeye analo file pale mirembeYaleyale waliosema kina zitto, lissu.leo anakubaliana nayo.duh huyu mzee Kama Ni unafiki balaa
Inawezekana madaktari kule kwa kina AMITHA BACHAN walisahau kurudishia baadhi ya nutsHuyu mzee nikiskia jina lake limetajwa popote huwa roho inanichafuka. Katika kiongozi ambae anaongoza kunikusanyia dhambi za kutukana ni huyu, kwasababu ni muongo na mnafiki wa kiwango cha 4G.
Fangasi zinaachia kwa mbalii
Basi Kama anamichezo ya uchafu anakokwenda ni pabaya, Mungu hapendezwi hivyosiasa mkuu,
siasa ni mchezo mchafu.
Daaaaaah... Aseeehhhh... Kweli eeeeeh
Namba tatu (3)Aina Ya Nidhamu:-
1. Nidhamu Ya Dhati
2. Nidhamu Ya Woga
3. Nidhamu Ya Kujipendekeza
Naamini Umejua Sasa Hivi Ana Fit Wapi
Huyuhuyu spika alishawahi kupewa maagizo Na serikali (mhimili mwingine) awafukuze wabunge wake bungeni ili serikali ikawashuhulikie nje ya bunge nae akalitimiza agzigo hilo bila ajizi.siasa mkuu,
siasa ni mchezo mchafu.
Tanzania hii nani sio mnafiki kila mtu analinda maslahi yake kwanza ndio maana nchi pekee utakuta mtu ana line 4 za simu kampuni tofauti strong signal vifurushi rafiki ndio hiyo hiyo hatuna kitu loyalty kwetu maslahi tu.Alikwina..!? Huu ni unafiki wa kiwango cha SGR