Anatutukana vijana tunaohangaika na kitaa huyuHakuna mtoto wake hata mmoja aliejiajiri zaidi ya kuongea kwa dharau
System nzima hakuna hata mmoja ambaye amewahi kujiajiri zaidi ya dharau kwa wananchi.Anatutukana vijana tunaohangaika na kitaa huyu
Kabla ya ajira za malipo hapakuwa na shida ya ajira. Kijana alikua katika familia na jamii ambayo full time kazi zilikuwepo. So ukisema tangu dunia kuumbwa unamaanisha nini.Tatizo la ajira halijawahi kukosekana tangia dunia kuumbwa. Sema tu uzito wa tatizo hutaofautiana kwa awamu.
TRA, sijui OSHA sijui ushuru wa halmashauri ni cancer kwa wananchiHawana hizo sera za kumbeba mtu wao wanataka wakukamue ukianza biashara tu. Mambo magumu
On top of that watoto wao wakimaliza wanaunganishiwa kazi chapu chapu. Tena sehemu zenye mishahara minono.Yeye mbona hajaenda kufanya ujasiriamali?
Kijana huyo anayezungumziwa akifanikiwa kidogo TRA washatia timu na kumfilisi...
Ishu ni kwamba wao hawaathiriki moja kwa moja! Watoto wao wana uhakika wa connections kwa kuandikiwa vimemo tu vya kupachikwa kwenye Taasisi/Mamlaka zenye maslahi makubwa.Hali ni ngumu sana kwa wanaotegemea kujiajiri na ujasiriamali. Hao wengine wana uhakika wa kipato mwisho wa mwezi, tena pesa nyingi za kodi ya wananchi, ndio maana wanatoa kauli kama hizi.
Suala la kokosa ajira halina chama kwa maana vijana wa itikadi zote wanaathirika.
Mungu yupo na sisi wanyongeIshu ni kwamba wao hawaathiriki moja kwa moja! Watoto wao wana uhakika wa connections kwa kuandikiwa vimemo tu vya kupachikwa kwenye Taasisi/Mamlaka zenye maslahi makubwa.
Mtu anapokea mshahara wa Serikali toka miaka ya 1990 huko maana yake hajawahi ku experience ugumu wa maisha hasa ya kujitaftia mtaani. Leo hii ndio anajifanya kiranja cha kunyooshea vidole na kusimanga vijana...Inashangaza sana!!!
Basi Muhas ibadilishiwe kozi zote ipewe veta.Spika Ndugai amesema ni wakati sasa vijana wetu wakaachana na mawazo ya kuajiriwa na badala yake wajikite kwenye shughuli za ujasiamali na kilimo.
Ndugai amesema vijana waliomaliza darasa la saba ni mfano mzuri wa kuigwa kwa sababu wao hawachagui kazi tofauti na wale wanaojiita wasomi ambao wanazeeka wakiwa bado wanatafuta ajira ambazo hazipo.
Amevitaka vyuo vikuu viwaige wenzao wa Kenya.
Source TBC 2
Maendeleo hayana vyama!
Ajira sio tatizo kwa serikali.Kwa hiyo anakubali kuwa tatizo la ajira lipo?!
Hahahhaa eti kuna ukweli.Basi Muhas ibadilishiwe kozi zote ipewe veta.
Haya majamaa yanaropoka ropoka sana japo kuna ukweli ila sio kihivyo
Sasa afunge bakuli lake ale kimya kimyaHahahah maisha, haitaka itokee! Unafikiri ujasiriamali rahisi aache vieite akaanze kukung'utwa na TRA na mahangaiko yake [emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa hiyo wameenda kukaa kwa mashemu au kwa dada zao?Kuna rafiki zangu kama wawili hivi wamefunga biashara zao wanasema hakuna mauzo, watu hawana pesa mtaani.
Kweli tena kawa mbunge mda mrefu sawa na umri wa kijana mkubwaKwanza yeye tayari ana mtaji, ajiuzulu akajiajiri awaache vijana wasio na mitaji watafute mitaji kwenye ajira. Anahubiri maji wakati anakunywa soda.
Hata mimi naunga mkono hoja shule zote za sekondari na vyuo vifutwe. Elimu iishie darasa la saba.Naunga mkono hoja kwa 100% mbali na ajira baadhi ya maofisi kuna mizigo sana! Yaani mtu anaajiriwa hawezi kujishughulisha kabisa,kuandika hawezi! Kupanga file taabu yaani ni kulalama tuu na kupiga story + kunyoosha miguu...
Na baadhi ninahisi unakuta ni wale watoto wa mama from primary up to university hawajui hata kuku wanakunywa vipi maji.
Mkuu ni mi 5 tena.Lisu aliwaambia muingie road mkaogopa washawashaNI MTU HUHUYU JUZI KADAI WATUMIA SIMU WAOPIGWE KODI KUBWA BILA KUSAHAU MITANDAO IMEAJIRI MAELFU YA WATU, NI WATU HAWAHAWA WANACHANGIA BEI ZA BANDO KUPANDA HUKU WAKITOA MATAMKO YA KINAFIKI WAKATI IMEMAJIRI MAELFU YA WATU
NI WATU HAWAHAWA WANATOA MACHOZI YA MAMBA HUKU MIMATE IKIWARUKA WAKIJIFANYA KUSIKITIKA BEI YA CEMENT,SUKARI,UNGA WA NGANO MAFUTA YA KUPIKIA VIKIPANDA WAKATI HUO MAMA NTILIE,MAFUNDI UJENZI WAKIATHIRIKA
LEO KAZI ZA UJENZI HAKUNA KAMA ZAMANI,KWA MAMA NTILIE WATU WANAAGIZA SAHANI YA 2,000 WANASHEA WATATU ...KIKUWELI HIZI NI DHARAU NA DHIHAKA ZA HALI YA JUU SANA INATIA HASIRA MNOOOO....BORA BABUTALE ALIKIMBILIA HUKO KAGUNDUA UNAVUTA LAKI TATU UKIWA UMEKAA KWENYE KIYOYOZI NA KUPIGA MEZA KWA NGUVU,KUTOKA UFUNDI BASIKELI MANZESE HADI UBUNGE HUYO KAJIAJIRI SASA OTHERWISE TUACHENI NA MAISHA YETU
KIKWETE(ajira zilikuwepo),MAGUFULI(ajira hakuna,vijana mjiajiri).Hii ngoma ni nzito mkuu na ni global issue..sio Tanzania pekee
Ukitaka kuamini nenda
Haiti
Algeria
Senegal
Burkina Faso
Syria
Albania bila kusahau
Afghanistan
Kila mahali tabu tupu! tusione kwamba hii ngoma ni kwa bongo pekee!
Anaudhi kinomaSasa afunge bakuli lake ale kimya kimya