Spika Ndugai: Vyuo vikuu vianze kufundisha Ujasiriamali kama vile vya Kenya vijana wasisubiri ajira ambazo hazipo!

Hahahahaaaa wee acha tu mkuu. Life is not fair but God is good.
Lazima aseme hivyo spk
Kumbuka matibabu kwake bure
Malazi analipiwa
Mafuta ya gari analipiwa
Ada za familia yake analipiwa
Kwa kifupi hajui bei ya mchele,mafuta,nyanya
Madukani na sokoni
Anavyoishi yeye anaona kila mtu anaishi hivyo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Hii ngoma ni nzito mkuu na ni global issue..sio Tanzania pekee
Ukitaka kuamini nenda
Haiti
Algeria
Senegal
Burkina Faso
Syria
Albania bila kusahau
Afghanistan
Kila mahali tabu tupu! tusione kwamba hii ngoma ni kwa bongo pekee!
Case ya Tanzania ni tofauti. Kwa kawaida familia zetu zinapaswa kula milo mitatu kwa siku.

Sasa wewe kama baba wa familia huwezi kuwalaza njaa wanao kila siku eti kwa kisingizio kuwa kila familia ina matatizobya chakula.

Tena siyo kwamba pesa huna, ila pesa unakula mwenyewe na nyingine unahonga uko bar.

Watanzania ni wavumilivu mno na waelewa sana. Ndio maana baada ya vita ya Kagera watu wakifunga mikanda kiroho safi tu na hakuna aliyelaumu.

Sasa hivi ajira hutoi lakini pesa za kuhonga zipo.

Covid-19 wabinge wa CHADEMA Miaka 5 kila mmoja atakuwa kagonga bilioni 1.

Hivi kwa Mishahara yetu ya Laki 5 hiyo Bilioni 19 ingeajiri watu wangapi ??

Kama Magu alihitaji waoinzani why alitumia dola kupora uchaguzi ?

Na hapo nimetolea mfano wa covid-19, bado suala la kukataa oesa za UNDP ili akwepe waangalizi wa kimataifa pamoja chaguzi feki ndogo.

Hivyo ukubwa wa suala la ukosefu wa ajira Tanzania linatokana na roho mbaya na ubinafsi wa watawala.
 
Maneno haya ungeyasema wakati wa kampeni. Lakini mlisema mtatoa ajira
 
Inasikitisha sana mkuu
 
Yeye kasomea utunzaji wa wanyapori, anaweza kujiajiri kupitia fani aliyosomea au anaropoka tu kwakuwa kashiba na kuvimbiwa?
 
Mimi naandika kitabu cha ujasiriamali unaweza ukawa na elimu ya ujasiriamali kama sera hazitabiriki huwezi fanikwa 'you can not succeed in business with uncertainty and ineffective state policies' 80% of business success depends on personal qualities .the other 20% depends on political,physical and environmental factors
 
Itakuwa ni kazi BURE tu kama hakuna mitaji ya ukakika Kwani wengi wanatoka katika familia za kimaskini.
 
Watu watapiga A na hawatajiajiri. Wanaofundisha huo ujasiriamali wenyewe wakifukuzwa kazi presha tupu.
well said.
mtu anafundisha ujasilimali, lakini akitimuliwa kwenye hiyo kazi hawezi kujiajiri.
 
Viongozi wetu wamepatwa na nini.......mbona naona kama awako sawa hivi!!
 
Hapa, Serikali iwafundishe hawa jamaa mambo ya kuzungumza kulingana na taaluma na nafasi zao.
Juzi hivi, huyu 'job' anasema walimu waongezewe 'Job' masomo ya kufundisha leo anasema vijana wafundishwe ujasiliamali ; ina maana yeye hajawasikiliza Mhe. Mbuge Msukuma Joseph; na Mhe. Mbuge. Nape Nnauye, walichosema kuhusu Biashara na Kodi ?

Kama anadhania kuwa ni rahishi hivyo, aachie usipika na ubunge kisha, akatoe mfano kwa kusoma huko Kenya huo ujasiliamali kisha aje ajiajiri tuone anavyoendesha hizo biashara 'ujasiliamali wake kutoka huko Kenya'.

Kweli ukishiba; lazima unye juu ya mazao ya chakula,
 
Tanzania kwasasa hata kama una elimu nzuri ya ujasiriamali huwezi toboa ,wanasiasa wanatengeneza sera ili wafanye siasa
 
Sasa kwa nini wasivifungie hivi vyuo kama walivyozifungia biashara za forex bureau + kuwapora fedha
 
Benny Haraba

Mkuu, huyu 'job' akawasikilize vizuri Mhe. ,Msukuma na Nnape, au awaombe wamfafanulie kwa lugha ya wagogo labda ataelewa tatizo lilipo.
Mimi nilibahatika kupata elimuya ujasiriamali, asilimia 80% ya mafanikio kwenye biashara tulifundishwa kwamba ni wewe mwenyewe yaani unavyoenenda kwenye biashara 'personal entrepreneur competence' lakini kwa uhalisia hiyo asilima 20% iliyo baki ni kikwazo cha biashara ambayo inajumuisha utashi wa kisiasa,Afya na mengineyo yanayo mzunguka mfanya biashara 'factors affecting entrepreneurship are political,physical and environmental factors'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…