mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Lazima aseme hivyo spkHahahahaaaa wee acha tu mkuu. Life is not fair but God is good.
Kumbuka matibabu kwake bure
Malazi analipiwa
Mafuta ya gari analipiwa
Ada za familia yake analipiwa
Kwa kifupi hajui bei ya mchele,mafuta,nyanya
Madukani na sokoni
Anavyoishi yeye anaona kila mtu anaishi hivyo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app