Si Magufuli kafa na matatizo yote yameisha?
Sasa mnaogopa nini kwenda mahakamani?
wame edit comment yangu? na wao k.u.ma. m mama.... z..a..osisi watanzania wa sasa hivi tunajitambua ni muda kidogo tu tutakinukisha na hata wakiama nchi tutawafuata, bomu limekaribia kulipuka.
Hilo jina lako na mabandiko yako haviendani. Inanikumbusha mbilikimo kuitwa tall, mweusi ti akiitwa zungu! Wewe ni lofa kabisa kiakili. Mwongo baradhuli aso haya. Unajiaibisha na kujidhalilisha mwenyewe. Nifanyalo sasa hivi ni kukurekebisha. Ndio lugha stahili kwa kibwengo kama wewe.Nape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali).
Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!
Nimegundua li Ndugai ni janja sana, ikifika wakati wa kulishtaki kwa kwiba fedha za matibabu ya India litasema lina kichaa mtamshitakije kichaa?Chizi lile, likamatwe lirudishwe mirembe
Hapo ndo mnanikasirisha, 2025 mbali sana, Kwanini usifanye mwisho iwe July hii?!Huyu hatoboi 2025
Kwani ile clip inayotembea akiwa anajisifu kuwa ana faili mirembe alimaanisha nini jamani?
Huyu anatakiwa anyongwe hadi afe.Ndugai atafungwa
Leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika wa Bunge Job Ndugai amesimama na kumkemea Nape Nauye, Mbunge wa Mtama ambaye hivi karibuni alitoa maoni yake binafsi kuwa wale wabunge 19 waliotimuliwa na CHADEMA sio wabunge halali.
Ndugai, akonekana mwenge wasiwasi na aliyepoteza mwelekeo akaanza kwa kujisifu kuwa yeye ni mzoefu, hivyo asipangiwe cha kufanya.
Ameenda mbali zaidi kwa kutaka kuonesha kuwa akina mama hao 19 wanaonewa na mfumo dume uliopo CHADEMA. Ndugai anasahau yeye na Profesa Lipumba walichowafanyia akina mama wa CUF walipovuliwa ubunge kwa kimemo cha Lipumba.
Mzee Ndugai atabaki katika historia kama SPIKA DHAIFU kuwahi kutokea. Tunazitaka Mamlaka za kulinda Katiba kuhakikisha KATIBA inalindwa.
Ikiwezekana kila NDUGAI atakapoonekana hadharani azomewe kwa aibu anayoiletea Taifa.
[emoji23][emoji23][emoji23]Pia nimesikia anampongeza Mtu aliyeulizia upatikanaji wa maji kwenye Jimbo la Lisu.
Anasema bora umeulizia maji maana mwenye hilo jimbo kakimbilia Belgium. Anasahau kuwa hapo Bungeni wapo wenyewe tu CCM?.
Ivi kiuhalisia hawakupaswa kuwa humo? Isijekuwa mnashindana na mkono wa Mumbaji kurithia wao kuwemo humo kwani njia zake sio njia zetu na mawazo yake siyo mawazo yetu, na hakuna jambo gumu kumshinda. Ukiua kwa upanga unakufa kwa huo upanga ukitenda mema utapendwa na Mumbaji au VP?Leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika wa Bunge Job Ndugai amesimama na kumkemea Nape Nauye, Mbunge wa Mtama ambaye hivi karibuni alitoa maoni yake binafsi kuwa wale wabunge 19 waliotimuliwa na CHADEMA sio wabunge halali.
Ndugai, akonekana mwenge wasiwasi na aliyepoteza mwelekeo akaanza kwa kujisifu kuwa yeye ni mzoefu, hivyo asipangiwe cha kufanya.
Ameenda mbali zaidi kwa kutaka kuonesha kuwa akina mama hao 19 wanaonewa na mfumo dume uliopo CHADEMA. Ndugai anasahau yeye na Profesa Lipumba walichowafanyia akina mama wa CUF walipovuliwa ubunge kwa kimemo cha Lipumba.
Mzee Ndugai atabaki katika historia kama SPIKA DHAIFU kuwahi kutokea. Tunazitaka Mamlaka za kulinda Katiba kuhakikisha KATIBA inalindwa.
Ikiwezekana kila NDUGAI atakapoonekana hadharani azomewe kwa aibu anayoiletea Taifa.
Punguza ukali wa maneno.Hilo jina lako na mabandiko yako haviendani. Inanikumbusha mbilikimo kuitwa tall, mweusi ti akiitwa zungu! Wewe ni lofa kabisa kiakili. Mwongo baradhuli aso haya. Unajiaibisha na kujidhalilisha mwenyewe. Nifanyalo sasa hivi ni kukurekebisha. Ndio lugha stahili kwa kibwengo kama wewe.
Nape alikuwa anamsema m/kiti wake wala si rais. Mungu anasemwa seuze rais. Umekuwa lofa kupitiliza. Tayari kujitoa ufahamu bila aibu. Hakika ulikunya aibu chooni. Ufahamu uliuchuza kwa upumbavu wako. Unatia kichefuchefu na hasira!
Kama hakuvuliwa wakati wa Jiwe ndio imetoka hiyo,hatavuliwa tena kwanza Chama kimerudi upande wao.Nape zamu hii lazima avuliwe uanachama wa ccm, apoteze na hako kaubunge kake, akaungane na wenzake chadema. He is too much. Zamu ile aliomba samahani na akasamehewa (kwa mazungumuzo yake kwenye simu yaliyodukuliwa, wakimsema vibaya aliyekuwa rais wa JMT wakipanga mipango mibaya dhidi ya serikali).
Avuliwe uanachama wake wa ccm na tuone kama atang'ang'ania huo ubunge.
Juzi tulimwona akiwa na akina Lissu kwenye zoom wakiisema vibaya serikali ya awamu ya 6 chini ya mama yetu SSH!
Duh...!.Leo Bungeni baada ya kipindi cha maswali na majibu, Spika wa Bunge Job Ndugai amesimama na kumkemea Nape Nauye, Mbunge wa Mtama ambaye hivi karibuni alitoa maoni yake binafsi kuwa wale wabunge 19 waliotimuliwa na CHADEMA sio wabunge halali.
Ndugai, akonekana mwenge wasiwasi na aliyepoteza mwelekeo akaanza kwa kujisifu kuwa yeye ni mzoefu, hivyo asipangiwe cha kufanya.
Ameenda mbali zaidi kwa kutaka kuonesha kuwa akina mama hao 19 wanaonewa na mfumo dume uliopo CHADEMA. Ndugai anasahau yeye na Profesa Lipumba walichowafanyia akina mama wa CUF walipovuliwa ubunge kwa kimemo cha Lipumba.
Mzee Ndugai atabaki katika historia kama SPIKA DHAIFU kuwahi kutokea. Tunazitaka Mamlaka za kulinda Katiba kuhakikisha KATIBA inalindwa.
Ikiwezekana kila NDUGAI atakapoonekana hadharani azomewe kwa aibu anayoiletea Taifa.