Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

dahh ila mapumbavu yana hela haya... hii m 3 mi mpaka niiweke mkononi si kitoto...
 
Huko kuwa na hofu sijui ila inawezekana magufuli anawapigia simu Sana hawa viongozi wa kubwa nyakati za usiku mkubwa
Rejea ya makonda alisemaga ameulizwa na masheikhe vipi hivi mzee analala usiku makonda bila kuwaelewa lengo lao akawajibu kwamba mzee alaligi usiku anakuwa macho kwa kujenga nchi wajuzi wa mambo wakamcheka sana na kumuhita majina ya ajabu ajabu point inawezekana magufuli anawapigia simu Sana usiku nakuwapa majukumu magumu ambayo ayawezekani tena akiwaambia mimi nitayasimamia
 
Spika Job Ndugai amesema wabunge wa CHADEMA ambao hawashiriki vikao vya bunge kwa madai kuwa wapo karantini wanahesabika kama watoro na wanatakiwa kurejesha fedha zote walizolipwa kwa kipindi ambacho hawatakuwepo bungeni.

Pia wamepaswa kufanya kipimo cha Covid19 kabla hawajaingia bungeni
==

TAARIFA ZAIDI
Spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Mei 6, 2020 amewataka wabunge wa CHADEMA waliosusia vikao vya bunge kwa kisingizio cha Corona kurudi haraka bungeni

Spika Ndugai amesema endapo watakaidi agizo hilo la kurudi Bungeni basi itawalazimu siku watakayo rudi wawe na cheti kinachoonesha kuwa wamepima ugonjwa wa Corona na majibu yake na kurudisha pesa walizolipwa ambazo ni posho za vikao la sivyo hatua zaidi zitachukuliwa.

"Wabunge hawa ambao ni watoro walipokuwa wanaondoka walilipwa fedha za kuanzia Mei 1-17 Jumla ya zaidi Tsh. Milioni 110, nawaagiza kuanzia Freeman Mbowe kurudisha Tsh. Milioni 2 na elfu 40 na wenzake wote hao, huu ni utoro wa hiari kwa lugha rahisi huu ni wizi na wale wengine wamelipwa Milioni 3 warudishe" amesema Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai ameongeza kuwa; "Nimeshangazwa na kusikitishwa sana na tangazo hilo kwa sababu Mbowe hana mamlaka ya kuitisha utoro wa wiki mbili kwa Wabunge, anajaribu kuwa kama Prefect wa Shule ya Sekondari, japo wameambiana kubaki Dodoma lakini wanazurura nchi nzima, wabunge hao popote walipo warudi bungeni haraka sana kuendelea na kazi zao".

Kwa kipindi cha siku 17 (kuanzia tarehe 1 mpaka 17) kipindi icho wanapokea Tshs Million 110. Ambayo ni sawa na million 6.47 kwa siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Tangazo LA ndugai Leo nimegundua bunge Ni kichaka cha wizi.je hela waliyopewa kina mahige, ndasa Na rwakatare itarudi? Unalipaje wabunge posho ya kikao kabla ya vikao? Hili bunge lilipaswa kukaguliwa Ni wizi mtupuu
ndiyo maana Spika akamkandia sana CAG Prof Assad maana kuna madudu yanaendelea Bungeni Spika hataki yajulikane, kama hili la kulipa watu posho kabla hawajafanya kazi, this is total misuse of Public funds
 
Ndugai kapwaya unamlipaje mtu posho hajafanya kazi? Kwa minajili hiyo kuna mawaziri nao wamelipwa posho hawapo bungeni wapo ziarani mikoani wanakula posho za wizara hii si ni double payment ya posho?
ni uhuni tu spika anaufanya
 
Inabidi warudishe hela ya bunge. Kumbe wamelipwa in advance halafu dj anawaambia waingie mitini bila kuwajibika. Kama hawarudishi cash lazima hela ya umma wakatwe kwe viinua mgongo. Na ile mijike yao inajidai mikakamavu kupigania hewa kutafuta kick za ubunge i hope hairudi hata mmoja..mungu ibariki tanzania.
Na yule kiongozi anafunga shule na vyuo huku ma baa na club zinakesha Mungu ana Mwona
 
Spika Job Ndugai amesema wabunge wa CHADEMA ambao hawashiriki vikao vya bunge kwa madai kuwa wapo karantini wanahesabika kama watoro na wanatakiwa kurejesha fedha zote walizolipwa kwa kipindi ambacho hawatakuwepo bungeni.

Pia wamepaswa kufanya kipimo cha Covid19 kabla hawajaingia bungeni
==

TAARIFA ZAIDI
Spika wa bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Mei 6, 2020 amewataka wabunge wa CHADEMA waliosusia vikao vya bunge kwa kisingizio cha Corona kurudi haraka bungeni

Spika Ndugai amesema endapo watakaidi agizo hilo la kurudi Bungeni basi itawalazimu siku watakayo rudi wawe na cheti kinachoonesha kuwa wamepima ugonjwa wa Corona na majibu yake na kurudisha pesa walizolipwa ambazo ni posho za vikao la sivyo hatua zaidi zitachukuliwa.

"Wabunge hawa ambao ni watoro walipokuwa wanaondoka walilipwa fedha za kuanzia Mei 1-17 Jumla ya zaidi Tsh. Milioni 110, nawaagiza kuanzia Freeman Mbowe kurudisha Tsh. Milioni 2 na elfu 40 na wenzake wote hao, huu ni utoro wa hiari kwa lugha rahisi huu ni wizi na wale wengine wamelipwa Milioni 3 warudishe" amesema Spika Ndugai.

Aidha Spika Ndugai ameongeza kuwa; "Nimeshangazwa na kusikitishwa sana na tangazo hilo kwa sababu Mbowe hana mamlaka ya kuitisha utoro wa wiki mbili kwa Wabunge, anajaribu kuwa kama Prefect wa Shule ya Sekondari, japo wameambiana kubaki Dodoma lakini wanazurura nchi nzima, wabunge hao popote walipo warudi bungeni haraka sana kuendelea na kazi zao".

safi kabisa maana wenyewe wakishapiga hela hawana habari kua hizo hela ni zawananchi masikini wenyewe wanakula bata tu
 
Yapaswa ifuatiliwe usikute marehemu mama rwakatale, mzee mahiga waneondoka na posho za vikao vya ubunge dah inasikitisha sana
 
Wewe bogazi kweli sasa kama humu cdm ipo mtaani inakosekana vipi? Tuliopo humu jf ndio tupo mtaani.
Wew kilaza humu jitu moja lina id fake zaidi ya kumi,

Mbaya zaidi hayapigi hata kila, chadema yameshajifia hamna kitu

Mmebaki tweeter na jf tu, mnapayuka, Magu nyoosha hawa nyumbu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee huyu huwa anafikiria POSHO tu, katikati ya janga hili mzee ni posho...

Yaani COVID-19 na kanuni zake za kujikinga nayo haina maana, priority ni POSHO na si kuokoa maisha yako na ya wengine pia.
 
Back
Top Bottom