MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
suala la watu kuathirika ni very serious na hata juzi tumeona watu wameretwa kwa matibabu...hata Mh. Ndugai na Charles mwera kwa hili wameungana na kutaka tume iundwe...cheyo alikuwa anaongea kwa kuguswa na suala lile halafu Spika yeye analeta udikteta na kumfukuza mbunge ndani ya kikao....jamani tunaweka maslahi gani mbele kama sio uhai wa mtu....
naungana na wachangiaji wengine kuandaa mwisho wa suala hili la udikteta wa CCM sio tu Sitta...KATAA CCM..OKOA TAIFA..
naungana na wachangiaji wengine kuandaa mwisho wa suala hili la udikteta wa CCM sio tu Sitta...KATAA CCM..OKOA TAIFA..