njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Ila ni lazima atii katiba aliyoapa kuilinda pamoja na Sheria zakeKama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19...
Siyo lazima na hakuna wa kumfanya kitu labda apende tuIla ni lazima atii katiba aliyoapa kuilinda pamoja na Sheria zake
Huo utamaduni nauita ulikuwa wa awamu Yako pendwa ya Tano🤔Siyo lazima na hakuna wa kumfanya kitu labda apende tu
Ina maana huoni wako bungeni bado na wanachangia madaHuo utamaduni nauita ulikuwa wa awamu Yako pendwa ya Tano🤔
Speaker hayupo juu ya sheria, na sio mjinga wala hawezi kunaswa na mtego wa jinsia,anaona mbali.Lakini akijikaaga basi atafute kazi nyingine isiozingatia sheria.Ila ni lazima atii katiba aliyoapa kuilinda pamoja na Sheria zake
Kwani we unaona nini kinaendelea mkuu? Hawatoki wale na hakuna mtu atanfanya kitu spikaAma kweli wewe ni njaakalihatari maana unandika toka hewani, siyo akilini. Yaani just, AKIPENDA..
Wewe umevurugwa hata hujui makusudi yako huku duniani, wazazi wako wamepata hasara!Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19...
Umeangalia bunge leo?Speaker hayupo juu ya sheria, na sio mjinga wala hawezi kunasws na mtego wa jinsia,anaona mbali.Lakiniakijikaaga basi atafute kazi nyingine isiozingatia sheria.
Bado nipe feedback ikiwezekana.Umeangalia bunge leo?
Kwani katiba si makaratasi tu? Isipofatwa mtawafanya nini? Bwege weeeeWewe umevurugwa hata hujui makusudi yako huku duniani, wazazi wako wamepata hasara!
Covid 19 wanakula posho wako bungeni business as usualBado nipe feedback ikiwezekana.
For how long ? Au Messiah kaonekana Loliondo?Covid 19 wanakula posho wako bungeni business as usual
Mkuu hakuna hilo! Kwa sababu Supika alisema hawezi kuwafukuza Ubunge mpaka hapo Mahakama itakapotoa maamuzi kuhusiana na shauri walilopeleka mahakamani.Sasa Mahakama imetoa maamuzi atafanyaje?
Kwanz alewa maana ya feministKama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19
Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu
Akiwatetea wanawake wenzake hakika feminists duniani watamxhukulia kama shujaa wao na bila shaka atakuwa president ajaye
Piga kazi spika usiwatoe hao achana naa makelele ya wanuka jasho hawana la kukufanya
Kwa hiyo Bunge halifuati katiba ya Nchi ndo mlivyozoea ehee?maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu