Unajua kusoma kweli? Huyo aliyeandika hivyo umemnukuu vibayaChadema bhana, ety atajipatia umaarufu duniani akiwafukuza hao wabunge 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kusoma kweli? Huyo aliyeandika hivyo umemnukuu vibayaChadema bhana, ety atajipatia umaarufu duniani akiwafukuza hao wabunge 😂😂
Ama kweli wewe ni njaakalihatari maana unandika toka hewani, siyo akilini. Yaani just, AKIPENDA..
Yaani ni kusema kuwa tutakuwa tunaishi kwenye nchi ya "ANIMAL FARM" au basi sema "BANANA REPUBLIC" kwa sababu viongozi wetu watakuwa wanatoa maamuzi yao simply tu kwa sababu, watakuwa WANAPENDA..!!
Haiko hivyo na haitakuwa hivyo for more another time.
Kama Hakimu/judge aliyetoa hukumu hiyo ya kina Mdee hakutumia principle ya "AKIPENDA" basi hata Tulia Ackson hatafanya kwa kuwa, AMEPENDA...!!
Spika alishasema kuwa kama si hawa wabunge kwenda mahakamani angeshawaondoa. Na sasa mahakama imetupilia mbali ... Kilichobaki ni wazi.
Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19
Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu
Akiwatetea wanawake wenzake hakika feminists duniani watamxhukulia kama shujaa wao na bila shaka atakuwa president ajaye
Piga kazi spika usiwatoe hao achana naa makelele ya wanuka jasho hawana la kukufanya
yaani wewe kifutu ambaye hata ukinya chooni wapangaji wenzako wanahama nyumba kwa muda you have audacity to call me takataka? utopolo mkubwaHii takataka ndio inawapotezea muda wote kumuelimisha?
Mna moyo.
Mimi hata sijakuelewa ndugu. Wewe hoja yako ni nini kwani? Chuki mimi nimchukie nani sasa..?Mkuuu ww unaongea kwa chuki tu kwa sababu unataka watolewe Bungeni au unaongea kwa vile umesikiriza shauri aliloltoa Jaji wa mahakamani ...Jamani tujifunze kufatilia mambo kabla ya kujiwekea mawazo yetu.
Huna Aki MastaSiyo lazima na hakuna wa kumfanya kitu labda apende tu
Kama kuna issue itampa umaarufu na heshima duniani speaker tulia ackson ni hii ya wabunge waitwao covid 19
Mahakama haijapeleka barua hawezi fanyia kazi maneno ya mitandao na pia siyo lazima afate maamuzi ya mahakama bunge limejichimbia chini zaidi labda apende tu
Akiwatetea wanawake wenzake hakika feminists duniani watamxhukulia kama shujaa wao na bila shaka atakuwa president ajaye
Piga kazi spika usiwatoe hao achana naa makelele ya wanuka jasho hawana la kukufanya